acha kutukana watz hao watu wenu wamefundishwa tz kwaiyo usitukane hovyo kama mwisho wa kufikiri ni wa huyó aliyeandika
Kwani wewe umekimbilia hapa TZ kwa nini usiishi huko kwenu
mkuu! hivi wewe ndiye mr slim tunayemjadili au tumngojee mwingine!?Safi sana JF. Naheshimika ktk kijiwe chetu cha kahawa kwa mambo ka hizi!
Kwa kipi ilichonacho Tz,Kaazi kweli kweli Huu ni uzi wa 10 kama sikosei mwaka huu ni ishu za Kagame kagame na Rwanda yake nadhani watz wamefika mwisho wa kufikiri
Smart
Na kinachoniacha hoi, ikiwa hizi tetesi zina ukweli kwanini jeshi na TISS wapo kimya?
Kwamba hawajui anayedai miaka saba katumwa?
Hawajui kwamba huko Mwanza wapo wengi na mpaka wanaongea kisukuma?
Kwahyo wale wakenya wako kule moshi au wale Wazambia na wamalawi kule mbeya nao ni ma Spy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alikuwa Lt col mtaalam wa IT makao makuu ya jeshi Upanga, wakasema katolekea Rwanda!Lengo hasa la mr slim ni nini mpaka awe na maspies wengi kiasi hiki?
Kuna kipindi ilisemekana kuna mwanajeshi mwenye cheo kikubwa tena ni mtaalam wa IT alitoweka na hajulikani alipokwenda,je ilishajulikana alipo?
Ndio maana tunapoambiwa tuko uchi mimi huwa sipingi.Alikuwa Lt col mtaalam wa IT makao makuu ya jeshi Upanga, wakasema katolekea Rwanda!
rudi kwenu unafikili yote unaweza yafahamuMbuzi wewe sasa kama wamefundishwa na wa Tz mnawashwa nin. Sasa wangefundishwa na watz tusingekunywa hata maji.
rudi kwenu unafikili yote unaweza yafahamu
HALAFU KUNA WANAYARWANDA WENG WANAFANYA KAZ SERIKALINI.
hahaaaEndeleeni kumwaga nondo wakuu ili nasie wakogea kopo tupate lolote la kubishania kwenye vijiwe vyetu vya bodaboda
hahahaaNaam. Nipo Mkuu
target sio kupigwa tu mkuu target ya kwanza ni kujiimarisha kiuchumi ..so wanawza kuiba mbinu mbali mbali zinazotumika katka kulinufaisha taifa ..hata kuiba Mali asili ikibidi kama jinsi wafnyavyo kule congoLet assume kuw Mr.Slim ni hatari kuliko tunavyofikiria ,ana ma spy 200 wa kike na udogo wa nchi yake sio hoja, swali ni je anaweza kufanya nini? Kuipiga tz nyuklia ..................siielewagi hii kitu!
Idadi ni kubwaKwahiyo mnataka kutuaminisha kwamba kila mnyarwanda aliyeko tz ni spy?
Then what?? .............huku kusini mwa jangwa la Sahara,labda nini kitatokea kwa Tanzania....labda tutrudi nyuma sana ,tutashindwa kufanya maendeleo..... what?? Siioni impact yake kwa Tz.target sio kupigwa tu mkuu target ya kwanza ni kujiimarisha kiuchumi ..so wanawza kuiba mbinu mbali mbali zinazotumika katka kulinufaisha taifa ..hata kuiba Mali asili ikibidi kama jinsi wafnyavyo kule congo
issue hapa sio ssi kurudi nyuma kiuchumi ama kuendelea ..issue kubwa ni yye kuwa na nguvu hiyo kiuchumi zaidi ya mataifa yaliyopo ukanda huu wa Africa mashariki ..ushawishi wa kisiasa ambao tumeshaamza kuuona ukijitokeza baada ya baadhi ya watu kupndekeza miaka 7 kama ilivyo huko kwa slim niushahidi tosha kuwa anaifect kwetu ..issue pia nikuwa na kuimarika ktka mbinu za kijeshi ..na huduma bora ambazo zinastahiki katk jamii...Then what?? .............huku kusini mwa jangwa la Sahara,labda nini kitatokea kwa Tanzania....labda tutrudi nyuma sana ,tutashindwa kufanya maendeleo..... what?? Siioni impact yake kwa Tz.