Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

acha kutukana watz hao watu wenu wamefundishwa tz kwaiyo usitukane hovyo kama mwisho wa kufikiri ni wa huyó aliyeandika

Mbuzi wewe sasa kama wamefundishwa na wa Tz mnawashwa nin. Sasa wangefundishwa na watz tusingekunywa hata maji.
 
Kwa kipi ilichonacho Tz,Kaazi kweli kweli Huu ni uzi wa 10 kama sikosei mwaka huu ni ishu za Kagame kagame na Rwanda yake nadhani watz wamefika mwisho wa kufikiri


Na kinachoniacha hoi, ikiwa hizi tetesi zina ukweli kwanini jeshi na TISS wapo kimya?

Kwamba hawajui anayedai miaka saba katumwa?

Hawajui kwamba huko Mwanza wapo wengi na mpaka wanaongea kisukuma?

Kwahyo wale wakenya wako kule moshi au wale Wazambia na wamalawi kule mbeya nao ni ma Spy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lengo hasa la mr slim ni nini mpaka awe na maspies wengi kiasi hiki?
Kuna kipindi ilisemekana kuna mwanajeshi mwenye cheo kikubwa tena ni mtaalam wa IT alitoweka na hajulikani alipokwenda,je ilishajulikana alipo?
Alikuwa Lt col mtaalam wa IT makao makuu ya jeshi Upanga, wakasema katolekea Rwanda!
 
Jestkilla kucha kutwa kuitukana Tz wakati yeye mwenyewe anaishi humo humo kwa hisani ya wabongo.. Ila kazuriiiiiiii
 
Alikuwa Lt col mtaalam wa IT makao makuu ya jeshi Upanga, wakasema katolekea Rwanda!
Ndio maana tunapoambiwa tuko uchi mimi huwa sipingi.
Sasa unakataaje ikiwa mtaalam wa IT tena mjeshi ambae kafanya kazi katika kitengo nyeti namna hii anatowekea nchini kwa jirani,jirani ambae si mzuri.??????
 
Let assume kuw Mr.Slim ni hatari kuliko tunavyofikiria ,ana ma spy 200 wa kike na udogo wa nchi yake sio hoja, swali ni je anaweza kufanya nini? Kuipiga tz nyuklia ..................siielewagi hii kitu!
target sio kupigwa tu mkuu target ya kwanza ni kujiimarisha kiuchumi ..so wanawza kuiba mbinu mbali mbali zinazotumika katka kulinufaisha taifa ..hata kuiba Mali asili ikibidi kama jinsi wafnyavyo kule congo
 
target sio kupigwa tu mkuu target ya kwanza ni kujiimarisha kiuchumi ..so wanawza kuiba mbinu mbali mbali zinazotumika katka kulinufaisha taifa ..hata kuiba Mali asili ikibidi kama jinsi wafnyavyo kule congo
Then what?? .............huku kusini mwa jangwa la Sahara,labda nini kitatokea kwa Tanzania....labda tutrudi nyuma sana ,tutashindwa kufanya maendeleo..... what?? Siioni impact yake kwa Tz.
 
Then what?? .............huku kusini mwa jangwa la Sahara,labda nini kitatokea kwa Tanzania....labda tutrudi nyuma sana ,tutashindwa kufanya maendeleo..... what?? Siioni impact yake kwa Tz.
issue hapa sio ssi kurudi nyuma kiuchumi ama kuendelea ..issue kubwa ni yye kuwa na nguvu hiyo kiuchumi zaidi ya mataifa yaliyopo ukanda huu wa Africa mashariki ..ushawishi wa kisiasa ambao tumeshaamza kuuona ukijitokeza baada ya baadhi ya watu kupndekeza miaka 7 kama ilivyo huko kwa slim niushahidi tosha kuwa anaifect kwetu ..issue pia nikuwa na kuimarika ktka mbinu za kijeshi ..na huduma bora ambazo zinastahiki katk jamii...
 
sioni hata mtu mmoja humu akieleza kiini au chanzo cha ugomvi wa JK naPK. na je hizo athari ziliisha baada ya jk tu kuondoka,
 
Mr Slim huyuhuyu aliyefunzwa hapa nyumbani leo anakua adui yetu! ni kitu cha hatari sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…