BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Bei unajua ila size hujui?[emoji848][emoji848][emoji848]Wakuu,
Nina hizo baby walker mbili (spacio na ist) nahitaji kubadilisha radio zilizopo na kuweka android radio.
Kwa bahati mbaya radio hizo gharama yake ni 550,000 kwa hapa bongo lakini nina mtu hayupo bongo anataka kuniletea kwa bei chini ya hiyo.
Lakini sifahamu size ya radio ya gari hizo, ningekuwa nafahamu unapima wapi ningeweza kupima mwenyewe lakini sielewi wanachopima ni ile screen pekee inayoonyesha au ni ile sehem nzima ambapo radio imewekwa.
Msaada wakuu kwa anayejua size ya radio za gari hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama simu android tu mkuuHizo android ni aina gani ya radio au zinasifa gani zaidi ya radio nyingine??
Kama upo Dar nenda Dicksound jamaa sio snitch anakuelekeza hata kama hutatumia huduma yake.
Og storage yake inakuaje na fake inakuaje?7inch, mimi nilinunua laki3 zipo og na fake,fake ni android lkn ukidownload app zinagoma na hata storage yake pia bado changamoto,uko wapi nikutaftie?
unaweza tumia had wasap ..ukawatch video online..nakadhalikaHizo android ni aina gani ya radio au zinasifa gani zaidi ya radio nyingine??
mkuu mabwiku nina subwoofer ya gari inayokaaga nyuma kwenye buti nataka niconnect na PC yangu ili nikisikiliza mziki kwa PC na boower lisikike.
hiyo sub ni powered or passive ?? kama ni passive nunua amplifier 4ch ya watts 1000 itapendeza then hiyo spika ni bass tupu hivo lazima ununue spika za sauti pia na utafute PSU