Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Kuna sehemu nimekuja kupata supu ya kuondoa hangover, tangu saa nne asubuhi nipo hapa sijaona hata mtu mmoja alievaa jezi ya makolo.
Naona wananchi tu wanakatiza mitaa wametupia jezi zao.
Hali ipo hivi hivi na uko maeneo mengine.?
Naona wananchi tu wanakatiza mitaa wametupia jezi zao.
Hali ipo hivi hivi na uko maeneo mengine.?