Sizioni jezi za makolo.

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Kuna sehemu nimekuja kupata supu ya kuondoa hangover, tangu saa nne asubuhi nipo hapa sijaona hata mtu mmoja alievaa jezi ya makolo.

Naona wananchi tu wanakatiza mitaa wametupia jezi zao.

Hali ipo hivi hivi na uko maeneo mengine.?
 
Kuna sehemu nimekuja kupata supu ya kuondoa hangover, tangu saa nne asubuhi nipo hapa sijaona hata mtu mmoja alievaa jezi ya makolo.

Naona wananchi tu wanakatiza mitaa wametupia jezi zao.

Hali ipo hivi hivi na uko maeneo mengine.?
Washachungulia mechi kwa sangoma washajua matokeo ya nini waende kujiongezea presha na safari ya kurudi nyumbani iwe ndefu🤣🤣
 
Wamezivaa kwa ndani wanasubiri miujiza jioni ya saa kumi na mbili wavue mashati na kuziachia sasa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…