Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Khaaaaa!babu lzm hata km uko hm utakuwa na mizinga kadhaa za mikono juu kichwani!Aisee! Hapa unazungumzia kukojoa mkojo upi?
Kaunta ya juu leo week end huwa napanda saa moja jioni mpaka liamba....... yaani saa kumi na mbili nakuwa nailea mimba ya bibi yenu na kufungua njia then ndo naenda kaunta ya juu.
Kama hujaelewa uliza.........
Haaaa haaa haaa,my babu habari yako binafsi kwanza!
Naona leo unadili na vijana wako,ungeongeza ubeti mmoja wa kuwatia moyo kuwa wasijali wakajipange upya na kuweka vina na mizani lol!
Siku hizi watu wanamalizana kwa sms tu na km ni kibuti ni humo humo wala hakuna kurusha ngumi!
Babu hii kitu mie niliimba sana enzi hizo darasa la tatu km sikosei na mwalimu wangu mpendwa Foibe!
Nakutakia wikend njema Babu!
Nakupendeaga hapo tu kaka, macho yako huwa yanaona mbali sana... Mie yangu macho tu kaka, nilikuchagua uwe msemaji wangu mkuu bt nahisi kazi imeanza kukushinda.. Toa tamko hutoi, umekuwa jk kaka?😛hoto:😛hoto:
Unajua siku hizi idadi ya wanaume ni wachache kuliko wanawake, ukijifanya kulinga mwenzio anajiuliza nitampataje
Wale wanao tongozea wenzao wanaitwaje hivi!!!!!!!!!:A S embarassed:
Shkamoo mwalimu Faiza!
Ulikuwa wapi siku zote hizi? Wansikitisha!
View attachment 41094inakatisha tamaa,unaruka tu unakiona ila huli
Na hilo ndilo neno la Penzi.
kuwadi
ilikuwa siku nyingi kweliumenikumbusha mbali, mwaka 1991 !