ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Huyu mdada mbona hata jide humpost IG yake
lol Huyo dem ndo kafanya copy kwa ruhusa ya JD check kwenye IG ya jideWatu wapekuzi sana...kumbe wimbo wa lady jay Dee ndindi ni wimbo wa watu....https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=1200573386629315&id=100000299950223
Ni yeye. Kuna waliokuwa wanataka tu kumharibia.Huyu mdada mbona hata jide humpost IG yake
Oh ok, kwahio yeye ndio ametoa rights kwa wengine kuimba au yeye amemuomba mwenye rights za huo wimbo?Asee!! Jide mwenyewe kasema ndi ndi in a versions nyingi iko ya Uganda, Zambia, Kenya etc zote chini ya project yake tembelea fb na instagram page yake kuna versions zote hizo
Basi watu wanapotosha kusema kaiba huo wimbo.Asee!! Jide mwenyewe kasema ndi ndi in a versions nyingi iko ya Uganda, Zambia, Kenya etc zote chini ya project yake tembelea fb na instagram page yake kuna versions zote hizo
Hajanituma, ila ni braza wangu.Umetumwa na gadina nini?
Hajanituma, ila ni braza wangu.
Oh ok, kwahio yeye ndio ametoa rights kwa wengine kuimba au yeye amemuomba mwenye rights za huo wimbo?
Wimbo ni wake wale wengine wanafanyia cover tu kama ule wimbo wa Adele wengi wameimba tofauti tofautiOh ok, kwahio yeye ndio ametoa rights kwa wengine kuimba au yeye amemuomba mwenye rights za huo wimbo?
Ndio ziko nyingi na huwa anazipost hata instagram...Oh ok, kwahio yeye ndio ametoa rights kwa wengine kuimba au yeye amemuomba mwenye rights za huo wimbo?
Mkuu akanunuliwe, unataka kitwanga kikimzidi atumbuliweHahaha haya nenda akununulie bia
Mkuu akanunuliwe, unataka kitwanga kikimzidi atumbuliwe