Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Kama n kweli itakuwa kajharbia sana
Kwahyo umeona n sawa alchofanya?Kajiharibia vipi wakati mpira unachezwa uwanjani?
Umeiyona mkuu?Jamaaa amefanya mistake sana
Kana kiburi sana hadi kerodelle ali ni jeuri sana na anajua mpira
Ila hii itakua ya kitambo sanaKama n kweli itakuwa kajharbia sana
Ndyo mkuu nnayoUmeiyona mkuu?
Ila hii itakua ya kitambo sana
Mimi sijielewi napenda mwanamke apunguze tu sio kiparaDuuh hawa wachezaji hata mavuzi hawanyoi
Kibur na jeur yake itampotezaKana kiburi sana hadi kero
Kabisa mkuu nasikia ni mtoto wa mtaani itakua ndo sababu hana heshima na wakubwa zakeKibur na jeur yake itampoteza
kwenye mpira kama balotel
Ndo ttz af ukizingatia Bado mdogoKabisa mkuu nasikia ni mtoto wa mtaani itakua ndo sababu hana heshima na wakubwa zake
Unamjua Gaucho wewe fundi wa mpira ambaye hajawahi kutokea. Kuna video yake ilivuja akipiga punyeto na wala haikuathiri kiwango chake uwanjani mpaka leo tunamuabudu.Kibur na jeur yake itampoteza
kwenye mpira kama balotel