Castle
Senior Member
- Jul 25, 2008
- 116
- 20
dada mmoja alikuwa akipita karibu na nyumba yenye mbwa wakali na huku akiwa amevaa sketi fupi ya kubana mapaja, ghafla akatokea mbwa akaanza kumkimbiza, kwakuwa sketi ilikuwa fupi na yakubana ili aweze kujiokoa na yule mbwa akaamua kuivuta juu zaidi ili aweze kukimbia,kwakuwa sketi ilikuwa fupi huku nyuma bidhaa zote adimu zikawekwa hadharani lakini hakujali ili aweze kujinusuru na yule mbwa.
siku njema.
siku njema.
Last edited: