sketi fupi yazua balaa

sketi fupi yazua balaa

Castle

Senior Member
Joined
Jul 25, 2008
Posts
116
Reaction score
20
dada mmoja alikuwa akipita karibu na nyumba yenye mbwa wakali na huku akiwa amevaa sketi fupi ya kubana mapaja, ghafla akatokea mbwa akaanza kumkimbiza, kwakuwa sketi ilikuwa fupi na yakubana ili aweze kujiokoa na yule mbwa akaamua kuivuta juu zaidi ili aweze kukimbia,kwakuwa sketi ilikuwa fupi huku nyuma bidhaa zote adimu zikawekwa hadharani lakini hakujali ili aweze kujinusuru na yule mbwa.
siku njema.
 
Last edited:
Mmoja aitwaye Kiroboto kule Moshi aliwahi kumpa kitu dada nurse mmoja pale mawenzi hospital na ndo kwanza alikuwa ametoka kufunga ndoa. Nurse alikunywa sumu akafa. Maskini dada wa watu.
 
Kama kweli isifutwe ni fundisho kwa akina dada watu tunadindisha bila sababu za msingi kisa mtu ameamua kuvaa nusu uchi.
 
Ni mara ya pili unasisitiza, tunaomba sababu

Yaani kweli huoni tatizo hapa?

Watu waliopo sokoni waliwahi kumshika yule kichaa ili asiweze kutekeleza ile nia yake, lakini kumbe yule kichaa alishafika mbali na matokeo yake wakati watu wanajitahidi kumwondoa yule kichaa toka kwa yule dada, sauti ya yule dada ikasikika kama mtu ambaye ameshalewa na mahaba na kusema, 'basi mwacheni amalizie kabisa!

watu walishikwa na mshangao baada ya kuona wanajitahidi kumwokoa mtu ambaye anafurahia mahafa, ikabidi wamwache mpaka yule kichaa alipomaliza na yule dada kuvaa sketi yake na kukimbia kwa aibu.

Au mpaka iweje ndo ukione kinyaa hiki?
 
Labda ni-break the circle, niulize, hapo ktk P#1 Joke ni nini?
 
Huyo msichana mwenye umbile zuri, kumkubalia kichaa tena bada ya kuamuliwa, halafu mbele ya kadamnasi. It will never happen!
 
Hii habari haina chembe ya ukweli, haileti maana! Ifutwe
 
If this is supposed to be a joke, it is not funny. Mental illness is a serious issue.
 
Back
Top Bottom