Mfamaji upo Dar?
Basi nenda Regency Hosp ulizia Specialist wa ngozi atakupa dawa flani itakusaidia sana. Walio Dar wengi wanakumbana na tatizo hili, nadhani linatokana na maji chumvi (sina uhakika).
Tumia Aloe vera Gelly inapatikana store ya Forever Living Products
au kwa msaada zaidi waweza wasiliana nami kupitia bongje@gmail.com