Tatizo lako kubwa ni huelewi unachokipinga ukiambiwa hivi unasema vile ukiambiwa vile unasema hivi.
Nakueleza hivi, watoto wote waliofaulu mwaka jana ni wengi kuliko wote walioingia sekondari wakati wowote ule kabla ya Kikwete. Jee umeelewa hapo?
Sasa fikiri ni vichwa vingapi viliachwa bila kupewa fursa na Nyerere, Mwinyi na Nkapa kwa miaka 45.
Imebidi nicheke. Unazungumzia hawa Walimu wa toleo la kipindi hiki!! Nina bahati ya kuishi nao ama kukutana nao..Ni msiba! Tena ukiongezea na ugumu wa maisha "product" zitakazotoka baada ya miaka 5 ni balaa mara mbili ya hili tulilonalo.
Mazao ya kuporomoka kwa elimu chanzo chake ni Nyerere na vibaraka wake, nani alifuta masomo ya History na Geography mashuleni? na nani kayarudisha?
Hakuna mipango ya Elimu iliyo siri. Na kwa bahati nzuri ni rahisi kuona matokeo yake. Hao wanafunzi unaowaona hawajui hata Mtemi Mirambo ni mtu gani ama mto Rufiji uko Tanzania ama Malawi ndiyo Walimu wa baadaye!
Hata wale wachache walio afadhali hutawaona wakishika chaki, na hata kama wakishika ni kwa mpito tu! Labda kama unaamini katika miujiza.
Nieleze ni Government Primary school ipi hii kesho nachukuwa kadi ya CCM na kuanza kuwa mpiga debe wa Kikwete kwa maendeleo haya makubwa.
nahisi atakuwa mulugo anatumia hiyo idsijui FaizaFoxy kalishwa limbwata la aina gani na uongozi huu. Dada hasikii haambiwi. Hajui kuwa voda fasta ni zao la awamu hii ya nne? Hajui kuwa katika awamu hii waliofeli ndio wengi kuliko waliofaulu?
Faizafoxy anaelewa anachokifanya, don't underestimate her. It is better you don't get in 'word's fight' with her because she always makes herself a winner. I know you don't have such guts.nahisi atakuwa mulugo anatumia hiyo id
mtu mwenye timamu hawezi kuongea hizo non sence
Kuondoka madarakani, tumpe nani aongoze? Slaa? au DJ? - Wewe kweli umeichoka hii nchi.
Dah!Kama nyota ya jaah maana nisiku nyingi sana na zaidi najua uko poa nakutakia kila raheri japo napenda nikume spesho missing!Vipindi vya burudani na miziki kwenye TV za Taifa ziwe baada ya saa tatu usiku. Masaa yaliyobaki viwe vipindi vya shule na dokyumentari zinazofundisha.
Umeenda mbali sema kama office za serilikali zina mavitu kama haya ya watoto wa primary!
Nieleze ni Government Primary school ipi hii kesho nachukuwa kadi ya CCM na kuanza kuwa mpiga debe wa Kikwete kwa maendeleo haya makubwa.
Naona sasa tutakuwa kama watoto, na kama unavyojionyesha humu una rika sawa na mama yangu!
Ulianza hivi
Mpaka hapa unazungumzia wanafunzi wabovu waliotokana na "tawala zilizopita", na kwamba baada ya muda tutapata wanafunzi mahiri wanaotokana na utawala huu tulionao. Nami nikakujibu hivi:
Ghafla ukarukia kwa Mwalimu Nyerere (si tawala zilizopita tena, ni utawala uliopita!)
Nikakujibu tena hapa chini;
Pamoja na kuchanganya "hoja" na chuki lakini bado tulikuwa tunaangalia uwezo mdogo wa wanafunzi na elimu wanayoipata, ghafla umerukia kwenye wingi (ubora unaokuja umeuruka). Kwani hawa watoto tunaowona wakichemka hawakufaulu walikotoka? (kama kweli kuna kufaulu kwa maana yake halisi). Ndiyo nakuuliza hiyo "best results" (kwa maana ya quality) unayosema inakuja, itakuja kwa misingi ipi?
Nakukumbusha: Hata kama watoto wote watapata elimu ya sekondari kama kichwani hamna kitu ni bure kabisa, afadhali hizo resources wangenunulia pembejeo za Kilimo angalau tuondokane na aibu ya njaa!
Dah!Kama nyota ya jaah maana nisiku nyingi sana na zaidi najua uko poa nakutakia kila raheri japo napenda nikume spesho missing!
Yani bora hao uliotaja hapo maana wanaonekana kuwa na uchungu na elimu na vijana wa nchi hii. Hebu tuwape hii fursa tuone matunda yake.
Nipo baada ya mambo ya dunia nipo tena nimesimama kama moja!au i ya captal letter (I)maana moja imepinda kidogo(1)Ahsante sana, nafurahi kukuona tena, ulipotea.
Nipo baada ya mambo ya dunia nipo tena nimesimama kama moja!au i ya captal letter (I)maana moja imepinda kidogo(1)
Ni kweli wewe wrong number for sure maana hujui ulisemalo, wala hujui hata nimekuuliza nini na unajibu nini, nawaachia wenye akili timamu watakaoanza post ya kwanza mpaka ya mwisho ndio wataelewa unavyosumbuliwa na Mental disorder.Naona umekushuka, ulitaka shule ya primary ya Serikali nimekuwekea. Nini zaidi? unalo? umeshushuka shuu! cheza na FaizaFoxy wewe? hapa ni wrong number.
Ni kweli wewe wrong number for sure maana hujui ulisemalo, wala hujui hata nimekuuliza nini na unajibu nini, nawaachia wenye akili timamu watakaoanza post ya kwanza mpaka ya mwisho ndio wataelewa unavyosumbuliwa na Mental disorder.
]
Shule ya Msingi Katanini.