Skuli nyingine bana?

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Sijui jina la skuli na taaluma inayotoa zitakuwa zinafafana?

 

Attachments

  • 144-add-Bulongwa.jpg
    14.8 KB · Views: 412
Shule hii haiko Tanzania,bila shaka ni huko ujubani.
 
Yafananafana kama usafiri wa Bulongwa vile! "WIDAMBE", LUPELO,IGESA LINE nk nk



Umesahau 'MWAFRIKA' na UBENA COACH'...Kuna moja enzi hizo lilikuwa limeandikwa ..'Nyilaka, Nyilaka Nkwenzulu'..huh!
 

Lakini bado nasema shule hiyo iko ujubani.
 
Mbona huu mkeka hapa bora wa bongo?Du maana mara ya kwanza ulikuwa unaita gafla vumbi.labda zenji

Hii ya vumbi safari ya Bulogwa Makete, ...na baadae safari ikaishia migombani "KUTUKUYU" Mbeya!




 

Attachments

  • 031-Tukuyu.jpg
    16.1 KB · Views: 329
  • 132-Matemakauppa.jpg
    10.8 KB · Views: 355
  • 037-Tukuyu-kraaterijarvi.jpg
    18 KB · Views: 330
Shule hii haiko Tanzania,bila shaka ni huko ujubani.

Yup..ukiangalia huo mkeka chini babaake, live hii si bongo!
Usenge High School Usenge Details


College Name: Usenge High School Address: P.O.Box Private Bag,Usenge 40609 State/City/Town: Usenge Country: Kenya Phone Number 1: 057-21807 Phone Number 2:
Email:
Home Page/Website:
School Category: Public Secondary Schools
 
kumbe haiko hata mbali!!!!!!!!
 
kumbe haiko hata mbali!!!!!!!!...karibu na migingo island.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…