Mahabaaa [emoji777][emoji777][emoji777][emoji777][emoji777]Mahabaaa...
Me kosa langu ni nini jamaanAnalijua hilo sema anajisahaulisha tuu
Cc Shunie
COCOCHANEL ,, she is a Strong woman ,decided ,,determined and practical one ,, She is intelligent and sharp that mean if SHE DEFEND A CERTAIN THING OR POINT OF VIEW ,THERE MUST BE A GOOD A VERY GOOD REASONS BEHIND IT...
NIMDADA ANAYEJUA ANACHOKIONGEA NA YES ANAONGEA WITH FACTS THE " EXACTLY FACTS ""
so don't insult/underestimate her because of Your EGO.
NajaNakusubiri tuyajenge vizuri.
Bado napika yaan nimekuja mara moja nimepewa kazi acha tu kujifanya jana hodari wa kupika maandazi me mzima sana mamy hofu kwakoNasikia ulikuwa unapika maandazi[emoji23][emoji23][emoji23]
Mzima wewe
Marahaba mnasema nyie wa bara...Mahabaaa [emoji777][emoji777][emoji777][emoji777][emoji777]
Marahaba [emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818]
Umesahau tuuWoiiiiii Najma tumelitoa sawa dada
SijamboMahabaaa...
TuliaMe kosa langu ni nini jamaan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu niache
Achana nahuyo mtu bhana anakupotezea mda tuME.
Unatafuta KE wenzio?
Haya nakuacha ila usisahau...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu niache
[emoji137] abeee jana na leo Numbiii santee kwa kuniwahia siti
Sisi ni soul mates na msingi imara ninuaminifu. Ukiwa unamwamini mtu hata akikwambia leo nilitoa laki tano kutoka joint account wala hutamuuliza ulizifanyia nini.Hisia zako zinaunganika vipi Na husband?
Nn ni mihimili ya ndoa yako kutokutetereka!
muosha rungu
Kurogwaje babu tenaHaya nakuacha ila usisahau...
Unanipotezea muda nakusubir PM
[emoji23][emoji23][emoji23]huyu rafiki tu jamaniCarbs huyo ni shemela wetu eenh kichwa kichafu