Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Unalazimisha Wanaume wa Jf tudhibitishe juu yako.Wewe ni KE ila unajificha [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Vitoto vizuri
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]huyu rafiki tu jamani
[emoji122] [emoji122]Sisi ni soul mates na msingi imara ninuaminifu. Ukiwa unamwamini mtu hata akikwambia leo nilitoa laki tano kutoka joint account wala hutamuuliza ulizifanyia nini.
Pole eeh[emoji23][emoji23]Bado napika yaan nimekuja mara moja nimepewa kazi acha tu kujifanya jana hodari wa kupika maandazi me mzima sana mamy hofu kwako
AsanteeeeSisi ni soul mates na msingi imara ninuaminifu. Ukiwa unamwamini mtu hata akikwambia leo nilitoa laki tano kutoka joint account wala hutamuuliza ulizifanyia nini.
Hahaha!Sisi ni soul mates na msingi imara ninuaminifu. Ukiwa unamwamini mtu hata akikwambia leo nilitoa laki tano kutoka joint account wala hutamuuliza ulizifanyia nini.
Wewe ni KE??Achana nahuyo mtu bhana anakupotezea mda tu
Kurogwaje babu tena
[emoji134] [emoji134] santee loviePole eeh[emoji23][emoji23]
HongereniKazi yangu na mama yao Sakayo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Natambua uwepo wakoSent using Jamii Forums mobile app
Kama nilivyosema mwanzo ni kuwa he is my soul mate, kila siku kwetu ni honey moonHahaha!
Nini unadhani ni udhaifu wako katika ndoa kama mwanamke!?
Vitu gani ulivyonavyo au ufanyavyo vinaidumisha ndoa!?
Una furaha ya kweli ktk ndoa yako au upo kifungoni?
muosha rungu
Nakuona ujue [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha!
Nini unadhani ni udhaifu wako katika ndoa kama mwanamke!?
Vitu gani ulivyonavyo au ufanyavyo vinaidumisha ndoa!?
Una furaha ya kweli ktk ndoa yako au upo kifungoni?
muosha rungu
Leo mambo ya kununa na keyboard hakuna .....make jana nilikuchukua pichaaa
[emoji120] [emoji120]Hongereni