Sky Eclat live interview on DJ sepetu show!!

Curi mdogo wangu nani alikuharibu huko nyuma[emoji23] [emoji23] ndo nn sasa kutafuta marungu kwa lazima!!!

muosha rungu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti nani!!?? CURI??

say it once more mtoto mzuri

Yaani hizo Majina naitwaga na wa super mtindizz huku wakinishika sharubu.

NIMEUTHIBITISHIA UMMA WA JF KUWA WW NI KE KWA HILO JINA CURI.

HOLY GROLY..GOD HAVE MERCY ON US
 
anhaa sawa na jambo lipi lingine tena unashauri hapo kwa kuongezea??

Sent from my iDevice using Tapatalk
Kakojoe ulale mtoto mzuri

Umepuuzwa!!!!period!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bha...nge unazovuta unachanganya Na m..a..vi yako[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwanza unatafuta kiki kwangu halaf sitoi kiki ke...ngeee!

muosha rungu
 
Bha...nge unazovuta unachanganya Na m..a..vi yako[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwanza unatafuta kiki kwangu halaf sitoi kiki ke...ngeee!

muosha rungu
Mambo za kiki ni za shoga zako kina amber lutty[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13]
 
...Ukiwa kama mwanamke wa Ki-Africa ni kitu gani unahisi Mungu aliwapendelea wanawake wa bara la-Asia
Uvumilivu, wenzetu ndoa maana yake ni mpaka kifo kiwatenganishe pia ni watunza siri wazuri sana. Yandani hayatakaa yatoke nje.

Rafiki yangu aliniambia mama yao aliwafundisha hata kilicholiwa ndani jirani hapaswi kujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…