Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Ila wazungu wangeigiza kama hivyo kwa Africa, tungewasema ni wabaguzi, wanafurahia mauaji, wapo nyuma ya shambulioafrica tumebarikiwa vipaji
π
yeah man, kweli kabisa.Ila wazungu wangeigiza kama hivyo kwa Africa, tungewasema ni wabaguzi, wanafurahia mauaji, wapo nyuma ya shambulio
Wewe tu ndiyo ungesema hivyo mkuu siyo wengineIla wazungu wangeigiza kama hivyo kwa Africa, tungewasema ni wabaguzi, wanafurahia mauaji, wapo nyuma ya shambulio
Hicho kilinge hapo kiko wapi ?Sasa badala apelekwe ndani ya gari anapelekwa kwenye kilinge cha tunguli. Africa ni africa tu aise
Lakini kuvitumia kwenye maendeleo aaaahhhhafrica tumebarikiwa vipaji
π