skyline tech
Member
- Apr 9, 2021
- 39
- 65
Fundi wa laptop hawezi kuwa fundi wa TVBro karibu sana. Umejitambulisha vyema kuwa we ni fundi. Samahan kaka, unaweza kunisaidia hili. TV yangu aina ya Singsung ilikuwa sawa tu nikawa nimepata nyingine nikaacha kuitumia kwa takriban miez 2. Nilipoichukua juzi nataka kuitumia inagoma kuwaka. Ilijitahidi tu ikawaka kwa dakika 8 tu then ikazima. Inaweza kuwa na tatizo gani? Msaada plz!!!
Thanks jn Advance.
Sorry system ya Tv haiko sawa na ya laptop zinatofautia kiongozi hapo nasikitika kuwa siwezi kukusaidia kwa hiloBro karibu sana. Umejitambulisha vyema kuwa we ni fundi. Samahan kaka, unaweza kunisaidia hili. TV yangu aina ya Singsung ilikuwa sawa tu nikawa nimepata nyingine nikaacha kuitumia kwa takriban miez 2. Nilipoichukua juzi nataka kuitumia inagoma kuwaka. Ilijitahidi tu ikawaka kwa dakika 8 tu then ikazima. Inaweza kuwa na tatizo gani? Msaada plz!!!
Thanks jn Advance.
Asante kwa kumuweka waziFundi wa laptop hawezi kuwa fundi wa TV
Shukrani sanaaaKrb sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT.