Skywalker(Fredrick Bundala) its your time to stand with "Leotainment.com"

Skywalker(Fredrick Bundala) its your time to stand with "Leotainment.com"

mayowela

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,753
Baadhi wanaweza wakawa wameanza kukufahamu ulipokuwa muhariri wa Bongo5, ila umeanza safari yako pale Victoria fm Musoma kabla ya kuhamia RFA Mwanza na baadae ukashift TONE Radio.

Kipindi uko Tone ambayo ilikuwa online radio ulianza kujishughurisha na Uandishi hasa kwenye blogu yenu wewe na Kidbwoy (Sangu G) baadae wote mkaingia Bongo5 na kuifanya the best.

Umekuwa maarufu sana kwa sasa na hii ni kutokana na ubunifu katika kazi unazofanya, Utangazaji ambao kwa sasa uko kando ila unaufanya kwa namna yake, Uandishi wa Vitabu, Kurap, yaani Bro umebarikiwa na juhudi pia zimechangia Degree ya Masscom ya pale SAUT Unaitumia kisawasawa.

Kwa sasa uko Dizzim online umeitamburisha kwenye map na kila mtu sasa anaisoma na kuisikiliza kwa uchache,

My take kaka ni muda wako sasa uisimamishe Leotainment.com(Daily entertainment take away)
ili iweze kuchuana na kina Bongo5.com, Millard ayo.com, Dizzim online, pia ni njia ingine ya wewe kupata kipato ila kuonesha ujuzi zaidi na isibakie kukuza vya wenzako japo vinakupa ujira.

Thanks.
 
Baadhi wanaweza wakawa wameanza kukufahamu ulipokuwa muhariri wa Bongo5, ila umeanza safari yako pale Victoria fm Musoma kabla ya kuhamia RFA Mwanza na baadae ukashift TONE Radio.

Kipindi uko Tone ambayo ilikuwa online radio ulianza kujishughurisha na Uandishi hasa kwenye blogu yenu wewe na Kidbwoy (Sangu G) baadae wote mkaingia Bongo5 na kuifanya the best.

Umekuwa maarufu sana kwa sasa na hii ni kutokana na ubunifu katika kazi unazofanya, Utangazaji ambao kwa sasa uko kando ila unaufanya kwa namna yake, Uandishi wa Vitabu, Kurap, yaani Bro umebarikiwa na juhudi pia zimechangia Degree ya Masscom ya pale SAUT Unaitumia kisawasawa.

Kwa sasa uko Dizzim online umeitamburisha kwenye map na kila mtu sasa anaisoma na kuisikiliza kwa uchache,

My take kaka ni muda wako sasa uisimamishe Leotainment.com(Daily entertainment take away)
ili iweze kuchuana na kina Bongo5.com, Millard ayo.com, Dizzim online, pia ni njia ingine ya wewe kupata kipato ila kuonesha ujuzi zaidi na isibakie kukuza vya wenzako japo vinakupa ujira.

Thanks.
Hi Mayowela, asante sana kwa ujumbe huu, hakika unaonekana kunifuatilia vyema. Ulichosema ni sahihi kabisa na nimeshaanza kukifanyia kazi. Nakuahidi baada ya mwaka mmoja nitakufurahisha. Pamoja sana
 
Hi Mayowela, asante sana kwa ujumbe huu, hakika unaonekana kunifuatilia vyema. Ulichosema ni sahihi kabisa na nimeshaanza kukifanyia kazi. Nakuahidi baada ya mwaka mmoja nitakufurahisha. Pamoja sana
Shukrani sana bro tuko nyuma yako, nimezidi kuwa mwenye furaha kusikia kauli hii toka kwako
 
Hi Mayowela, asante sana kwa ujumbe huu, hakika unaonekana kunifuatilia vyema. Ulichosema ni sahihi kabisa na nimeshaanza kukifanyia kazi. Nakuahidi baada ya mwaka mmoja nitakufurahisha. Pamoja sana
Kumbe una account huku?
 
Baadhi wanaweza wakawa wameanza kukufahamu ulipokuwa muhariri wa Bongo5, ila umeanza safari yako pale Victoria fm Musoma kabla ya kuhamia RFA Mwanza na baadae ukashift TONE Radio.

Kipindi uko Tone ambayo ilikuwa online radio ulianza kujishughurisha na Uandishi hasa kwenye blogu yenu wewe na Kidbwoy (Sangu G) baadae wote mkaingia Bongo5 na kuifanya the best.

Umekuwa maarufu sana kwa sasa na hii ni kutokana na ubunifu katika kazi unazofanya, Utangazaji ambao kwa sasa uko kando ila unaufanya kwa namna yake, Uandishi wa Vitabu, Kurap, yaani Bro umebarikiwa na juhudi pia zimechangia Degree ya Masscom ya pale SAUT Unaitumia kisawasawa.

Kwa sasa uko Dizzim online umeitamburisha kwenye map na kila mtu sasa anaisoma na kuisikiliza kwa uchache,

My take kaka ni muda wako sasa uisimamishe Leotainment.com(Daily entertainment take away)
ili iweze kuchuana na kina Bongo5.com, Millard ayo.com, Dizzim online, pia ni njia ingine ya wewe kupata kipato ila kuonesha ujuzi zaidi na isibakie kukuza vya wenzako japo vinakupa ujira.

Thanks.


Ushauri nzuri ni muda wake sasa nae kusimama kwa miguu yake huku akifanya kazi za nje.

Kama brand ya jina ameshatengeneza vyakutosha.
 
Huyu jamaa namkumbuka vizuri sana akiwa RFA...

Sijui kwanini kaamua kuua kipaji.
 
Hi Mayowela, asante sana kwa ujumbe huu, hakika unaonekana kunifuatilia vyema. Ulichosema ni sahihi kabisa na nimeshaanza kukifanyia kazi. Nakuahidi baada ya mwaka mmoja nitakufurahisha. Pamoja sana
Nakukumbuka Sana kwenye kipindi chako cha sitasahau hasa 2007-2008 kaka.
Ulitisha Sana.
 
Back
Top Bottom