Poleni sana lakini anatia simu leo
Kama hii ni kweli basi huo ndio mkakati
Waambie na wengine, kama kweli ikitokea wasiibiwe!!!!!!!!
Kuna mpango unaendelea wa namna ya kukinusuru chama cha mafisadi kisianguke vibaya Mkwenye uchaguzi ujuo na mbinu mbali mabali zinafanywa ili kura ziibiwe kwa gharama yoyote ile. Kuna mzee mmoja ndani ya system amenitonya kuwa ballot paper za ziwekea utaalamu kama picha ya kielelezo inavyoonyesha na mpango utakuwa kama ifuatavyo;
1. Mpango huu ni kwa KURA za uraisi tu,
2. Mpango huu utawahusu wagombea wenye nguvu ambapo kura za mgombea D zitahama kwa mgombea A unapokunja au unapo-fold ballot paper yako kwani sehemu ya kupigia kura ya mgombea D ina kikaratasi laini kilichowekewa gundi kali kwa juu ambapo ukipiga kura utaambiwa ukunje karatasi ya kura mara moja na kile kiaratasi kanahama kwa mgombea A,
3. Mpango huu utapandikia kura hizi za kughushi kwa uli mshindi apatikane kwa zaidi ya asilimia 70% bila kushitukiwa kwa weizi wa kuyra wa aina yoyote na mawakala wote kusign kuthibitisha kura zimehesabiwa kihalali
Nini cha kufanya:
Kama mpango huu utatumika kwa basi wapiga kura mnaombwa unapofika kituo cha kura bonyeza kwa dole gumbe kwenye sehemu ya mgombea D ambapo kikaratasi (very transparent with strong glue) kitanasa kidoleni mwako halafu piga kura yako na kunja karatasi bila wasiwasi wowote.
Habari ndio hiyo wizi wa namna hii umeshawahi kutumika sana nchi za kusini mwa amerika....
"The Lord is the strenght of my life; of whom shall I be afraid"
__._,_.___
._,___
Mla ndege ndo wapi, fafanua. Toa maelezo ya kujitosheleza ili hata huku Lindi tuelewe.
Kama hii ni kweli basi huo ndio mkakati
Waambie na wengine, kama kweli ikitokea wasiibiwe!!!!!!!!
Kuna mpango unaendelea wa namna ya kukinusuru chama cha mafisadi kisianguke vibaya Mkwenye uchaguzi ujuo na mbinu mbali mabali zinafanywa ili kura ziibiwe kwa gharama yoyote ile. Kuna mzee mmoja ndani ya system amenitonya kuwa ballot paper za ziwekea utaalamu kama picha ya kielelezo inavyoonyesha na mpango utakuwa kama ifuatavyo;
1. Mpango huu ni kwa KURA za uraisi tu,
2. Mpango huu utawahusu wagombea wenye nguvu ambapo kura za mgombea D zitahama kwa mgombea A unapokunja au unapo-fold ballot paper yako kwani sehemu ya kupigia kura ya mgombea D ina kikaratasi laini kilichowekewa gundi kali kwa juu ambapo ukipiga kura utaambiwa ukunje karatasi ya kura mara moja na kile kiaratasi kanahama kwa mgombea A,
3. Mpango huu utapandikia kura hizi za kughushi kwa uli mshindi apatikane kwa zaidi ya asilimia 70% bila kushitukiwa kwa weizi wa kuyra wa aina yoyote na mawakala wote kusign kuthibitisha kura zimehesabiwa kihalali
Nini cha kufanya:
Kama mpango huu utatumika kwa basi wapiga kura mnaombwa unapofika kituo cha kura bonyeza kwa dole gumbe kwenye sehemu ya mgombea D ambapo kikaratasi (very transparent with strong glue) kitanasa kidoleni mwako halafu piga kura yako na kunja karatasi bila wasiwasi wowote.
Habari ndio hiyo wizi wa namna hii umeshawahi kutumika sana nchi za kusini mwa amerika....
"The Lord is the strenght of my life; of whom shall I be afraid"
__._,_.___
._,___
kama hii ni kweli basi huo ndio mkakati
waambie na wengine, kama kweli ikitokea wasiibiwe!!!!!!!!
kuna mpango unaendelea wa namna ya kukinusuru chama cha mafisadi kisianguke vibaya mkwenye uchaguzi ujuo na mbinu mbali mabali zinafanywa ili kura ziibiwe kwa gharama yoyote ile. Kuna mzee mmoja ndani ya system amenitonya kuwa ballot paper za ziwekea utaalamu kama picha ya kielelezo inavyoonyesha na mpango utakuwa kama ifuatavyo;
1. Mpango huu ni kwa kura za uraisi tu,
2. Mpango huu utawahusu wagombea wenye nguvu ambapo kura za mgombea d zitahama kwa mgombea a unapokunja au unapo-fold ballot paper yako kwani sehemu ya kupigia kura ya mgombea d ina kikaratasi laini kilichowekewa gundi kali kwa juu ambapo ukipiga kura utaambiwa ukunje karatasi ya kura mara moja na kile kiaratasi kanahama kwa mgombea a,
3. Mpango huu utapandikia kura hizi za kughushi kwa uli mshindi apatikane kwa zaidi ya asilimia 70% bila kushitukiwa kwa weizi wa kuyra wa aina yoyote na mawakala wote kusign kuthibitisha kura zimehesabiwa kihalali
nini cha kufanya:
Kama mpango huu utatumika kwa basi wapiga kura mnaombwa unapofika kituo cha kura bonyeza kwa dole gumbe kwenye sehemu ya mgombea d ambapo kikaratasi (very transparent with strong glue) kitanasa kidoleni mwako halafu piga kura yako na kunja karatasi bila wasiwasi wowote.
Habari ndio hiyo wizi wa namna hii umeshawahi kutumika sana nchi za kusini mwa amerika....
"the lord is the strenght of my life; of whom shall i be afraid"
__._,_.___
._,___
acha kusambaza uongo, karatasi za kura safari hii majina ya wagombea yako mkono wa kushoto na yamepangwa totoka juu kuelekea chini na vivyo hivyo na vibox ya kuwekea alama ya ndiyo, jina la jk ni la pili na dr ni la tatu,hata ukikunja vipi vibox haviingiliani, hizi hadithi zako peleka kijiweni.
kama hii ni kweli basi huo ndio mkakati
waambie na wengine, kama kweli ikitokea wasiibiwe!!!!!!!!
kuna mpango unaendelea wa namna ya kukinusuru chama cha mafisadi kisianguke vibaya mkwenye uchaguzi ujuo na mbinu mbali mabali zinafanywa ili kura ziibiwe kwa gharama yoyote ile. Kuna mzee mmoja ndani ya system amenitonya kuwa ballot paper za ziwekea utaalamu kama picha ya kielelezo inavyoonyesha na mpango utakuwa kama ifuatavyo;
1. Mpango huu ni kwa kura za uraisi tu,
2. Mpango huu utawahusu wagombea wenye nguvu ambapo kura za mgombea d zitahama kwa mgombea a unapokunja au unapo-fold ballot paper yako kwani sehemu ya kupigia kura ya mgombea d ina kikaratasi laini kilichowekewa gundi kali kwa juu ambapo ukipiga kura utaambiwa ukunje karatasi ya kura mara moja na kile kiaratasi kanahama kwa mgombea a,
3. Mpango huu utapandikia kura hizi za kughushi kwa uli mshindi apatikane kwa zaidi ya asilimia 70% bila kushitukiwa kwa weizi wa kuyra wa aina yoyote na mawakala wote kusign kuthibitisha kura zimehesabiwa kihalali
nini cha kufanya:
Kama mpango huu utatumika kwa basi wapiga kura mnaombwa unapofika kituo cha kura bonyeza kwa dole gumbe kwenye sehemu ya mgombea d ambapo kikaratasi (very transparent with strong glue) kitanasa kidoleni mwako halafu piga kura yako na kunja karatasi bila wasiwasi wowote.
Habari ndio hiyo wizi wa namna hii umeshawahi kutumika sana nchi za kusini mwa amerika....
"the lord is the strenght of my life; of whom shall i be afraid"
__._,_.___
._,___
Umejuaje mkuu wakti makaratasi ya kupigia twataraji kuyaona kwa mara ya kwanza October 31 tutakapopiga kula???