Elections 2010 Slaa akiwa rais itakuwaje?

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mimi si mtaalamu wa sheria hata kidogo.Naelewa sharia za kiislamu kwa kiwango fulani.
Kwa kusema hivyo nataka kujuwa itakuwaje iwapo kwa bahati mbaya dkt.Slaa katika uchaguzi wa tarehe 31 oktoba akachaguliwa kuwa raisi mpya wa Tanzania huku ana kesi mahakamani ambayo bado haijahukumiwa kuhusiana na kuzini na mke wa mtu.
Katika sharia hukumu ya dkt Slaa kwa vile ni mzinifu ambaye hajaoa na mwenyewe amekiri kosa hilo, hivyo hakuna haja tena ya kuitwa mashahidi.Hukumu yake ni kupigwa bakora mia moja za nguvu hadharani,mfano kwenye uwanja wa Taifa. Baada hapo iwapo atapona basi ahamishwe nchini kwa muda wa mwaka mmoja
Ama kwa upande wa Josephine Mushumbushi,yeye kwa vile ni mzinifu alilyekwisha kuolewa basi hana nafasi tena ya kuwa first lady wala ya kurudi kwa mume wake wa mwanzo,kwani hukumu yake ni kuchimbiwa shimo na kupigwa mawe bila huruma mpaka afe kabisa.
 
umekosa kabisaaaaaa cha kufanya unawaza maisha ya ndani ya mwenzako?
yani ni sawa na umekaa unawaza ***** kavaa ch** ya rangi gani leo shit!

fanya kazi tujenge nchi na ulete hoja za maana kwa ujenzi wa taifa
 
mxuuuuuuu peleka magonjwa yako kwa dokta ukatibiwe maana sidhani kama ubongo wako upo sawasawa,hivi ulipna ile mental problem?au bado inakusumbua?
 
el madrassa
ndio maana mnataka mahakama yenu ya ka**?
Wewe watu wangapi wanazini tanzania nje ya ndoa?
Halafu wewe unajuaje kuwa wamezini? Au ndio unamshikia jamaa du**u lake? Idiot!!
 
kumbe mirembe wamekusahau......pumba tuuu
 
el madrassa
ndio maana mnataka mahakama yenu ya ka**?
Wewe watu wangapi wanazini tanzania nje ya ndoa?
Halafu wewe unajuaje kuwa wamezini? Au ndio unamshikia jamaa du**u lake? Idiot!!
Umasikini wa Tanzania elewa kuwa unaanzia hapo.
 
Nadhani ume changanya nchi mkuu. Hatuishi Saudi Arabia. Sisi tupo Tanzania wewe mwenzetu upo wapi?
 
Tanzania haiongozwi na SHARIA, bilashaka umerogwa wewe.Tukitafuta wazinifu hakuna atakayebaki.Tunachotaka si dini ya mtu ila nani mwenye uwezo wa kutuongoza.Acha udini mpe Dr.Slaa kura yako.
 
kaaaaaaaa haya uliandika kabla hujafikiria nini? acha ujinga wewe asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpiga mwenye dhambi" we unajiamini nini kwamba huzini nje? ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke ! mwache doctor wa watu kwanza huyo mwanamume gani anathubutu kuwaambia watu wengi kama watanzania "nimeachwa na mke haoni hata aibu" kazidiwa na mwanamume !
 
el madrassa
ndio maana mnataka mahakama yenu ya ka**?
Wewe watu wangapi wanazini tanzania nje ya ndoa?
Halafu wewe unajuaje kuwa wamezini? Au ndio unamshikia jamaa du**u lake? Idiot!!

So What?

Any way, sipendi kuingiza matatizo yake ya kuzini kama ajenda katika uchaguzi, lakini huyu mzee kweli kaaibisha Watanzania.

Kwenye hilo napata hata kichefu chefu, kweli umdhaniaye kumbe siye. Sikuweza kudhani kwamba anafanya mabo haya ya kijinga.

Lol CHADEMA, mnatuaibisha!!!!!!
 

we naye! umekosa cha kuandika? :deadhorse:
 

kwani muongozo wa CHADEMA unadhani ni wa ccm? kweli wewe siyo mtaalamu wa sheria na si msomaji wa katiba za vyama vya siasa
basi ogopa kulopoka hovyo
 

zindonga na ziwelale ziwelaleee....zindonga na ziwelaleeee ziwelale!!!!!!! eeeee zindonga, zindonga, ziwelale
 
Jamani mbona Makamba aliyebaka mtoto wa shule hajapigwa mawe!! Na kuna mhuni na mzinzi kuliko JK??
Wewe mwenyewe waonekana ni kiwembe; achana na mambo yasiyokuhusu.Sharia unayoisema ingemhukumu Makamba na JK kwani wao hiyo sharia inawahusu kulingana na imani ya dini yao.
 

Wow! Nahisi weye ungependa nchi yetu itawaliwe na "sharia"
 
I don't know where is this mother country heading to....
 
Ami una matatizo! Achana na sharia yako,usimweke dr.slaa uko. Yeye alichagua njia sahihi ndo mana hawezi kuhukumiwa kwa kutumia ayo unayoita sharia. Yeye si mwislam ivo yupo huru dhidi ya udhalim ulioutaja. Ikumbukwe pia ndoa/uzinzi si kosa La jinai-upo apo?ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili,hamna mtu wa kumlazimisha mwingne kumpenda au kutompenda mwingne. Mbona mnakuwa wavivu wa kufikiri? Pia hakimu alipotaja kesi iyo,alimshauri mshitaki amtafute mh.rev.dr.SLAA wakamalizane nje ya korti,'out of court settlement' upo apo? Mpe kaizari yaliyo ya kaizari. Mkuu tushirikiane kujenga taifa,say no to corruption! Dr. Slaa anaweza.
 
Ami una matatizo! Achana na sharia yako,usimweke dr.slaa uko. Yeye alichagua njia sahihi ndo mana hawezi kuhukumiwa kwa kutumia ayo unayoita sharia. Yeye si mwislam ivo yupo huru dhidi ya udhalim ulioutaja. Ikumbukwe pia ndoa/uzinzi si kosa La jinai-upo apo?ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili,hamna mtu wa kumlazimisha mwingne kumpenda au kutompenda mwingne. Mbona mnakuwa wavivu wa kufikiri? Pia hakimu alipotaja kesi iyo,alimshauri mshitaki amtafute mh.rev.dr.SLAA wakamalizane nje ya korti,'out of court settlement' upo apo? Mpe kaizari yaliyo ya kaizari. Mkuu tushirikiane kujenga taifa,say no to corruption! Dr. Slaa anaweza.
 

CRAP!!!!
Udini tu umekutawala, huna kipya unachokiwaza
 
Nonsense unaota habari ya Mahakama ya kadhi na akina Alishababu. Pole you are in the wrong forum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…