Jamani mbona Makamba aliyebaka mtoto wa shule hajapigwa mawe!! Na kuna mhuni na mzinzi kuliko JK??
Wewe mwenyewe waonekana ni kiwembe; achana na mambo yasiyokuhusu.Sharia unayoisema ingemhukumu Makamba na JK kwani wao hiyo sharia inawahusu kulingana na imani ya dini yao.
Mimi si mtaalamu wa sheria hata kidogo.Naelewa sharia za kiislamu kwa kiwango fulani.
Kwa kusema hivyo nataka kujuwa itakuwaje iwapo kwa bahati mbaya dkt.Slaa katika uchaguzi wa tarehe 31 oktoba akachaguliwa kuwa raisi mpya wa Tanzania huku ana kesi mahakamani ambayo bado haijahukumiwa kuhusiana na kuzini na mke wa mtu.
Katika sharia hukumu ya dkt Slaa kwa vile ni mzinifu ambaye hajaoa na mwenyewe amekiri kosa hilo, hivyo hakuna haja tena ya kuitwa mashahidi.Hukumu yake ni kupigwa bakora mia moja za nguvu hadharani,mfano kwenye uwanja wa Taifa. Baada hapo iwapo atapona basi ahamishwe nchini kwa muda wa mwaka mmoja
Ama kwa upande wa Josephine Mushumbushi,yeye kwa vile ni mzinifu alilyekwisha kuolewa basi hana nafasi tena ya kuwa first lady wala ya kurudi kwa mume wake wa mwanzo,kwani hukumu yake ni kuchimbiwa shimo na kupigwa mawe bila huruma mpaka afe kabisa.
Kwani Padri si huwa haoi, au????
Hapo kwenye red, sio, bali kwa mapenzi ya mwenyezi mungu, bahati njema/nzuri, na kwa lengo la kuwakomboa walio pembezoni humu Tanzania...! Aidha, nahisi siku hizi huko mirembe imewekwa facility ya internet...! Vinginevyo, umetumwa, na bado akili yako pungufu kabisa....! Nakushauri ukaungane na katibu wenu akulee kama sio mzazio...!Mimi si mtaalamu wa sheria hata kidogo.Naelewa sharia za kiislamu kwa kiwango fulani.
Kwa kusema hivyo nataka kujuwa itakuwaje iwapo kwa bahati mbaya dkt.Slaa katika uchaguzi wa tarehe 31 oktoba akachaguliwa kuwa raisi mpya wa Tanzania huku ana kesi mahakamani ambayo bado haijahukumiwa kuhusiana na kuzini na mke wa mtu.
Katika sharia hukumu ya dkt Slaa kwa vile ni mzinifu ambaye hajaoa na mwenyewe amekiri kosa hilo, hivyo hakuna haja tena ya kuitwa mashahidi.Hukumu yake ni kupigwa bakora mia moja za nguvu hadharani,mfano kwenye uwanja wa Taifa. Baada hapo iwapo atapona basi ahamishwe nchini kwa muda wa mwaka mmoja
Ama kwa upande wa Josephine Mushumbushi,yeye kwa vile ni mzinifu alilyekwisha kuolewa basi hana nafasi tena ya kuwa first lady wala ya kurudi kwa mume wake wa mwanzo,kwani hukumu yake ni kuchimbiwa shimo na kupigwa mawe bila huruma mpaka afe kabisa.
Mungu wa kweli anasema huwa hawaongozi wenye kudhulumu.Kwa vile dkt.Slaa amedhulumu mtu mke wake na nafsi yake kwa kutokuoa mke mzuri ampendae huku uwezo anao,tusitaraji kwamba akiwa raisi atapata uongozi wa kuwezesha sera zake.kinyume chake ni balaa tupu.Hivyo hilo likitokea itakuwa ni bahati mbaya kwa watanzania.Hapo kwenye red, sio, bali kwa mapenzi ya mwenyezi mungu, bahati njema/nzuri, na kwa lengo la kuwakomboa walio pembezoni humu Tanzania...! Aidha, nahisi siku hizi huko mirembe imewekwa facility ya internet...! Vinginevyo, umetumwa, na bado akili yako pungufu kabisa....! Nakushauri ukaungane na katibu wenu akulee kama sio mzazio...!
tUTATUMIA MAHAKAMA YA KADHI KUMSHITAKI!Mimi si mtaalamu wa sheria hata kidogo.Naelewa sharia za kiislamu kwa kiwango fulani.
Kwa kusema hivyo nataka kujuwa itakuwaje iwapo kwa bahati mbaya dkt.Slaa katika uchaguzi wa tarehe 31 oktoba akachaguliwa kuwa raisi mpya wa Tanzania huku ana kesi mahakamani ambayo bado haijahukumiwa kuhusiana na kuzini na mke wa mtu.
Katika sharia hukumu ya dkt Slaa kwa vile ni mzinifu ambaye hajaoa na mwenyewe amekiri kosa hilo, hivyo hakuna haja tena ya kuitwa mashahidi.Hukumu yake ni kupigwa bakora mia moja za nguvu hadharani,mfano kwenye uwanja wa Taifa. Baada hapo iwapo atapona basi ahamishwe nchini kwa muda wa mwaka mmoja
Ama kwa upande wa Josephine Mushumbushi,yeye kwa vile ni mzinifu alilyekwisha kuolewa basi hana nafasi tena ya kuwa first lady wala ya kurudi kwa mume wake wa mwanzo,kwani hukumu yake ni kuchimbiwa shimo na kupigwa mawe bila huruma mpaka afe kabisa.
shule ipi, ile ya roma ili aje kuiba wake za watu?nenda shule ili uwe na mchango kwa taifa.
Hapo umenisaidia.......Naona wengi hawapendi kupigwa fimbo wakajitakasa kwa madhambi yao ili huenda Mungu atawarehemu.Wamevamia hilo tu.Ana Hoja ya msingi..lakini jinsi alivyoiwasilisha ndio imewakanganya wengine....Kama swali ingekuwa kwa bahati mbaya Slaa akachaguliwa itakuwaje iwapo alishafunguliwa shtaka mahakani...na kwa bahati mbaya akapatikana na hatia???.
[]Mimi si mtaalamu wa sheria hata kidogo.Naelewa sharia za kiislamu kwa kiwango fulani.
Kwa kusema hivyo nataka kujuwa itakuwaje iwapo kwa bahati mbaya dkt.Slaa katika uchaguzi wa tarehe 31 oktoba akachaguliwa kuwa raisi mpya wa Tanzania huku ana kesi mahakamani ambayo bado haijahukumiwa kuhusiana na kuzini na mke wa mtu.
hukumu ya dkt Slaa kwa vile ni mzinifu ambaye hajaoa na mwenyewe amekiri kosa hilo, hivyo hakuna haja tena ya kuitwa mashahidi.Hukumu yake ni kupigwa bakora mia moja za nguvu hadharani,mfano kwenye uwanja wa Taifa. Baada hapo iwapo atapona basi ahamishwe nchini kwa muda wa mwaka mmoja
Ama kwa upande wa Josephine Mushumbushi,yeye kwa vile ni mzinifu alilyekwisha kuolewa basi hana nafasi tena ya kuwa first lady wala ya kurudi kwa mume wake wa mwanzo,kwani hukumu yake ni kuchimbiwa shimo na kupigwa mawe bila huruma mpaka afe kabisa.
KWA VILE HIZO HUKUMU ZAKO HAZITAWEZA KUTEKELEZEKA HAPA NCHINI TANZANIA - ILI KUONYESHA MSIMAMO WAKO WA KUTETEA UTAWALA WA SHARIA - NAKUSHAURI UVAE MABOMU HALAFU UJILIPUE - KWANI MTUME WAKO ATAKUWA ANAKUNGOJEA AKUPE ZAWADI ZA AHERA UNAPOKWENDA - NA HUKO HUTAKAA UMWONE TENA MH. RAIS WETU DR SLAA NA MKEWE JOSEPHINE - HIYO ITAKUONDOLEA CHUKI NA HASIRA ZIDI YAO - HAYA NAKUTAKIA KUJILIPUA KWEMA ..............
Ndio na mimi nikauliza itakuwaje?.Una taarifa yoyote iwapo wamemalizana nje ya korti ''out of court settlement', kwani uchaguzi umewadia.Ami una matatizo! Achana na sharia yako,usimweke dr.slaa uko. Yeye alichagua njia sahihi ndo mana hawezi kuhukumiwa kwa kutumia ayo unayoita sharia. Yeye si mwislam ivo yupo huru dhidi ya udhalim ulioutaja. Ikumbukwe pia ndoa/uzinzi si kosa La jinai-upo apo?ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili,hamna mtu wa kumlazimisha mwingne kumpenda au kutompenda mwingne. Mbona mnakuwa wavivu wa kufikiri? Pia hakimu alipotaja kesi iyo,alimshauri mshitaki amtafute mh.rev.dr.SLAA wakamalizane nje ya korti,'out of court settlement' upo apo? Mpe kaizari yaliyo ya kaizari. Mkuu tushirikiane kujenga taifa,say no to corruption! Dr. Slaa anaweza.