Mkutano wake leo umejaza watu wengi sana huko Zanzibar tofauti na wengi mnavyoweza kudhani, nitawaletea picha za Zanzibar hali ilivyokuwa.
Umejuaje wewe ?
Kuna mtu anaitwa Mtikila jamani mbona kimya?, sijasikia taarifa zake au sharti la kuachiwa lilikuwa afunike domo?
Mh yupo Zenji? naomba picha tasavali!
Ila ka ni kweli basi itakuwa funiko bovu
Asante sana kwa taarifa hizi basi tujitahidi kusambaza habari ili watu wengi zaidi waweze kumuona. Dr. Slaa ndiyo chaguo letu Watanzania wa kweli na si wale ambao ni wachumia tumbo.Wakuu,
Napenda kuwafahamisha kuwa kesho Dr. Slaa atakuwa viwanja vya Mwembeyanga jijini Dar es Salaam ambapo atakuwa LIVE ndani ya TBC1 pia kuanzia saa 10 jioni kwa muda wa masaa 3.
Aidha, baadae atakuwa LIVE katika televisheni ya Agape kuanzia saa 1 jioni.
Mkutano wake leo umejaza watu wengi sana huko Zanzibar tofauti na wengi mnavyoweza kudhani, nitawaletea picha za Zanzibar hali ilivyokuwa.
Usiulize. Labda ndiye kampeni meneja.Umejuaje wewe ?
Mimi sina matumaini na Zanzibar. Slaa arudi kanda ya ziwa. Kuangaika na watu 400000 wakati kagera tu ina zaidi ya 1,000,000 ni kupoteza muda. Hata hizo picha siziamini maana zanzibar ni watu wa kijiwe na wanapenda tu kutafuta maneno. Huwezi kuwategemea. I am a staunch supporter of Slaa (PhD ya Kweli) ila kwa zanzibar aaaaa!
Mimi sina matumaini na Zanzibar. Slaa arudi kanda ya ziwa. Kuangaika na watu 400000 wakati kagera tu ina zaidi ya 1,000,000 ni kupoteza muda. Hata hizo picha siziamini maana zanzibar ni watu wa kijiwe na wanapenda tu kutafuta maneno. Huwezi kuwategemea. I am a staunch supporter of Slaa (PhD ya Kweli) ila kwa zanzibar aaaaa!