Elections 2010 Slaa in Arusha today

Elections 2010 Slaa in Arusha today

Invisible

JF Admin
Joined
Feb 26, 2006
Posts
16,286
Reaction score
8,380
e9ey2q.jpg
 
Hilo nyomi CCM wakiliona lazima BP ipande ghafla.
 
Magwanda ya Chadema yanarangi nzuri kuliko ya CCM.

(I wish Chadema wangelikuwa na mipesa ya kuweza kugawa magwanda yao kama CCM, watu wengi wangelipendelea yao kuliko ya CCM!! lol)
 
Keep on going keep on shining slaa, its our time this year!
 
Magwanda ya Chadema yanarangi nzuri kuliko ya CCM.

(I wish Chadema wangelikuwa na mipesa ya kuweza kugawa magwanda yao kama CCM, watu wengi wangelipendelea yao kuliko ya CCM!! lol)

sawa kabisa...rangi za CCM zinachefua sana.....mimi huwa nikiona wanawake wamevaa hizo kanga zao sijui nawaonaje....leo niliona hizo shamra shamra za kwenda kumpokea Slaa, walikwenda kumsubiria maenea ya uwanja wa ndege......walinivutia sana
 
Mimi sasa nawaza tu njia mbadala za kulinda KURA baada ya uchaguzi, mpaka kieleweke

Tuwekeeni picha zaidi....
 
Hilo nyomi CCM wakiliona lazima BP ipande ghafla.


....KAKA ipande mara mbili....Muungwana ameingia homa ni CHADEMA ....kapiga kazi hadi saa kumi ....kamfungia safari ya kumkeshea kucha MSOGA......saa kumi tu alishachomoka ofisini na msafara wake kwenda MSOGA....HADI kesho saa mbili ndio anarudi mjini......kama mnapenda mabadiliko walau kidogo ni lazima kila mmoja kwa imani yake bara na visiwani asali sana tu!!!
.....sio mnajuwa mafundi wa mzee wakimaliza kazi ...akirudi akiwachekea tu basi ....kila mmoja anasahau machungu......yaani....hii dawa sijuwi ni ile wanayopewaga wapenda mabibi .....wanawake wawakubali tu bila kuhoji???..hamjawahi kuona hiyo .....hadi wanawake wakitoka wanasemezana..."ah sijui nimemkubalije?"....nadhani hiyo imeongezewa nguvu kiasi kuwa watanzania wanampenda muungwana hata wale ambao hawajui amefanya nini.....kama ilivyokuwa 1995....unamuuliza mtu ....unamependa muungwana ..unajuwa rekodi yake kulinganisha na watu kama SAS na wengine???...jibu lake utashangaa ...tena utajibiwa na wake kwa waume...."basi tu nampenda!!"........sijapata kuona ...ukitaka uone basi lazima uwe mtu wa ibada/swala sana!!!
 
sawa kabisa...rangi za CCM zinachefua sana.....mimi huwa nikiona wanawake wamevaa hizo kanga zao sijui nawaonaje....leo niliona hizo shamra shamra za kwenda kumpokea Slaa, walikwenda kumsubiria maenea ya uwanja wa ndege......walinivutia sana

mi sio zinanichefua tu.. wife alikuja na li T-SHIRT lina picha ya JK mama yangu mzaza kalikuta nafutia gari asubuhi.....alinuna haswa
 



....KAKA ipande mara mbili....Muungwana ameingia homa ni CHADEMA ....kapiga kazi hadi saa kumi ....kamfungia safari ya kumkeshea kucha MSOGA......saa kumi tu alishachomoka ofisini na msafara wake kwenda MSOGA....HADI kesho saa mbili ndio anarudi mjini......kama mnapenda mabadiliko walau kidogo ni lazima kila mmoja kwa imani yake bara na visiwani asali sana tu!!!
.....sio mnajuwa mafundi wa mzee wakimaliza kazi ...akirudi akiwachekea tu basi ....kila mmoja anasahau machungu......yaani....hii dawa sijuwi ni ile wanayopewaga wapenda mabibi .....wanawake wawakubali tu bila kuhoji???..hamjawahi kuona hiyo .....hadi wanawake wakitoka wanasemezana..."ah sijui nimemkubalije?"....nadhani hiyo imeongezewa nguvu kiasi kuwa watanzania wanampenda muungwana hata wale ambao hawajui amefanya nini.....kama ilivyokuwa 1995....unamuuliza mtu ....unamependa muungwana ..unajuwa rekodi yake kulinganisha na watu kama SAS na wengine???...jibu lake utashangaa ...tena utajibiwa na wake kwa waume...."basi tu nampenda!!"........sijapata kuona ...ukitaka uone basi lazima uwe mtu wa ibada/swala sana!!!


wewe kweli ulifuatilia hii....kulikuwa na msafara mrefu sana na kuna gari lilibeba na viti kabisa..hahaaaaaaaa JK kazi unayo mwaka huu..chuma hicho ushindane nacho sio una kazi ya kuchekacheka tu
 
Tena ukute imevaiwa hajafuliwa kitambo utakoma nazo. CCM mwaka huu wao
 



....KAKA ipande mara mbili....Muungwana ameingia homa ni CHADEMA ....kapiga kazi hadi saa kumi ....kamfungia safari ya kumkeshea kucha MSOGA......saa kumi tu alishachomoka ofisini na msafara wake kwenda MSOGA....HADI kesho saa mbili ndio anarudi mjini......kama mnapenda mabadiliko walau kidogo ni lazima kila mmoja kwa imani yake bara na visiwani asali sana tu!!!
.....sio mnajuwa mafundi wa mzee wakimaliza kazi ...akirudi akiwachekea tu basi ....kila mmoja anasahau machungu......yaani....hii dawa sijuwi ni ile wanayopewaga wapenda mabibi .....wanawake wawakubali tu bila kuhoji???..hamjawahi kuona hiyo .....hadi wanawake wakitoka wanasemezana..."ah sijui nimemkubalije?"....nadhani hiyo imeongezewa nguvu kiasi kuwa watanzania wanampenda muungwana hata wale ambao hawajui amefanya nini.....kama ilivyokuwa 1995....unamuuliza mtu ....unamependa muungwana ..unajuwa rekodi yake kulinganisha na watu kama SAS na wengine???...jibu lake utashangaa ...tena utajibiwa na wake kwa waume...."basi tu nampenda!!"........sijapata kuona ...ukitaka uone basi lazima uwe mtu wa ibada/swala sana!!!


Safari hii inaelekea ndugu zetu wenye maradhi ya ngozi itatubidi tuwalinde sana ama sivyo watakwisha kama mtindo wenyewe ndio huo!!
 



....KAKA ipande mara mbili....Muungwana ameingia homa ni CHADEMA ....kapiga kazi hadi saa kumi ....kamfungia safari ya kumkeshea kucha MSOGA......saa kumi tu alishachomoka ofisini na msafara wake kwenda MSOGA....HADI kesho saa mbili ndio anarudi mjini......kama mnapenda mabadiliko walau kidogo ni lazima kila mmoja kwa imani yake bara na visiwani asali sana tu!!!
.....sio mnajuwa mafundi wa mzee wakimaliza kazi ...akirudi akiwachekea tu basi ....kila mmoja anasahau machungu......yaani....hii dawa sijuwi ni ile wanayopewaga wapenda mabibi .....wanawake wawakubali tu bila kuhoji???..hamjawahi kuona hiyo .....hadi wanawake wakitoka wanasemezana..."ah sijui nimemkubalije?"....nadhani hiyo imeongezewa nguvu kiasi kuwa watanzania wanampenda muungwana hata wale ambao hawajui amefanya nini.....kama ilivyokuwa 1995....unamuuliza mtu ....unamependa muungwana ..unajuwa rekodi yake kulinganisha na watu kama SAS na wengine???...jibu lake utashangaa ...tena utajibiwa na wake kwa waume...."basi tu nampenda!!"........sijapata kuona ...ukitaka uone basi lazima uwe mtu wa ibada/swala sana!!!

Mkuu Mikaeli asante sana,
Kwakweli inabidi kwa sasa wote wapenda mageuzi tuingie katika swala na maombi, kama kuna nguvu za giz zishindwe na zipitilizwe na Nguvu ya jehova!
Hii story ya vigagula ni ya siku nyingi mkuu.. kuanzia yule jamaa aliyekuwa naye yuko vizuri Mwanza wakagongana uso kwa uso! kwakweli tuombe huyu shetani ashindwe sana kutugeuza watanzania ma ndondocha! Inawezakana, Mungu wetu ni mwenye haki tukimuomba tasikia.
 
Mwendo ni huo huo mpaka Oktoba 31! Itabidi kieleweke tu, wafanye wanavyofanya, tumtegemee Mungu hatatuacha wakiwa tena...
 
Back
Top Bottom