Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui ni hali ya hewa au ni kamera yenyewe..
Duh, ndo nakuona kwa mbali kwenye huo mkusanyiko? lol
Magwanda ya Chadema yanarangi nzuri kuliko ya CCM.
(I wish Chadema wangelikuwa na mipesa ya kuweza kugawa magwanda yao kama CCM, watu wengi wangelipendelea yao kuliko ya CCM!! lol)
Hilo nyomi CCM wakiliona lazima BP ipande ghafla.
sawa kabisa...rangi za CCM zinachefua sana.....mimi huwa nikiona wanawake wamevaa hizo kanga zao sijui nawaonaje....leo niliona hizo shamra shamra za kwenda kumpokea Slaa, walikwenda kumsubiria maenea ya uwanja wa ndege......walinivutia sana
....KAKA ipande mara mbili....Muungwana ameingia homa ni CHADEMA ....kapiga kazi hadi saa kumi ....kamfungia safari ya kumkeshea kucha MSOGA......saa kumi tu alishachomoka ofisini na msafara wake kwenda MSOGA....HADI kesho saa mbili ndio anarudi mjini......kama mnapenda mabadiliko walau kidogo ni lazima kila mmoja kwa imani yake bara na visiwani asali sana tu!!!
.....sio mnajuwa mafundi wa mzee wakimaliza kazi ...akirudi akiwachekea tu basi ....kila mmoja anasahau machungu......yaani....hii dawa sijuwi ni ile wanayopewaga wapenda mabibi .....wanawake wawakubali tu bila kuhoji???..hamjawahi kuona hiyo .....hadi wanawake wakitoka wanasemezana..."ah sijui nimemkubalije?"....nadhani hiyo imeongezewa nguvu kiasi kuwa watanzania wanampenda muungwana hata wale ambao hawajui amefanya nini.....kama ilivyokuwa 1995....unamuuliza mtu ....unamependa muungwana ..unajuwa rekodi yake kulinganisha na watu kama SAS na wengine???...jibu lake utashangaa ...tena utajibiwa na wake kwa waume...."basi tu nampenda!!"........sijapata kuona ...ukitaka uone basi lazima uwe mtu wa ibada/swala sana!!!
....KAKA ipande mara mbili....Muungwana ameingia homa ni CHADEMA ....kapiga kazi hadi saa kumi ....kamfungia safari ya kumkeshea kucha MSOGA......saa kumi tu alishachomoka ofisini na msafara wake kwenda MSOGA....HADI kesho saa mbili ndio anarudi mjini......kama mnapenda mabadiliko walau kidogo ni lazima kila mmoja kwa imani yake bara na visiwani asali sana tu!!!
.....sio mnajuwa mafundi wa mzee wakimaliza kazi ...akirudi akiwachekea tu basi ....kila mmoja anasahau machungu......yaani....hii dawa sijuwi ni ile wanayopewaga wapenda mabibi .....wanawake wawakubali tu bila kuhoji???..hamjawahi kuona hiyo .....hadi wanawake wakitoka wanasemezana..."ah sijui nimemkubalije?"....nadhani hiyo imeongezewa nguvu kiasi kuwa watanzania wanampenda muungwana hata wale ambao hawajui amefanya nini.....kama ilivyokuwa 1995....unamuuliza mtu ....unamependa muungwana ..unajuwa rekodi yake kulinganisha na watu kama SAS na wengine???...jibu lake utashangaa ...tena utajibiwa na wake kwa waume...."basi tu nampenda!!"........sijapata kuona ...ukitaka uone basi lazima uwe mtu wa ibada/swala sana!!!
....KAKA ipande mara mbili....Muungwana ameingia homa ni CHADEMA ....kapiga kazi hadi saa kumi ....kamfungia safari ya kumkeshea kucha MSOGA......saa kumi tu alishachomoka ofisini na msafara wake kwenda MSOGA....HADI kesho saa mbili ndio anarudi mjini......kama mnapenda mabadiliko walau kidogo ni lazima kila mmoja kwa imani yake bara na visiwani asali sana tu!!!
.....sio mnajuwa mafundi wa mzee wakimaliza kazi ...akirudi akiwachekea tu basi ....kila mmoja anasahau machungu......yaani....hii dawa sijuwi ni ile wanayopewaga wapenda mabibi .....wanawake wawakubali tu bila kuhoji???..hamjawahi kuona hiyo .....hadi wanawake wakitoka wanasemezana..."ah sijui nimemkubalije?"....nadhani hiyo imeongezewa nguvu kiasi kuwa watanzania wanampenda muungwana hata wale ambao hawajui amefanya nini.....kama ilivyokuwa 1995....unamuuliza mtu ....unamependa muungwana ..unajuwa rekodi yake kulinganisha na watu kama SAS na wengine???...jibu lake utashangaa ...tena utajibiwa na wake kwa waume...."basi tu nampenda!!"........sijapata kuona ...ukitaka uone basi lazima uwe mtu wa ibada/swala sana!!!