Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,887
- 7,673
Taarifa iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni kuwa Dokta Slaa ameanza kampeni kabla ya Muda.
Ni kinyume cha sheria maana kila anapopita anaeleza atakayowafanyia Watanzania pindi akichaguliwa kuwa Rais. Kwakuwa lengo la Mwanasiasa huyo ni kuomba ridhaa ya kudhaminiwa hakupaswa kuanza kutoa ahadi za yale atakayoyafanya maana kwa kufanya hivyo ni kuanza kampeni.
Je, Rais Mtarajiwa hawezi kuwekewa pingamizi hasa ukitilia maanani Mavuvuzela (Mtikila, yule wa TLP, NCCR na TPP maendeleo) nao ni wagombea wanaoweza kutumika kirahisi na WEVI hawa wa Chama Cha Mapinduzi kutimiza azma hiyo? Si kwamba mavuvuzela hayo yanaweza kutangulia kumwekea pingamizi Rais Slaa/ Samahani, namaanisha Rais Mtarajiwa Dokta Slaa?
Ni kinyume cha sheria maana kila anapopita anaeleza atakayowafanyia Watanzania pindi akichaguliwa kuwa Rais. Kwakuwa lengo la Mwanasiasa huyo ni kuomba ridhaa ya kudhaminiwa hakupaswa kuanza kutoa ahadi za yale atakayoyafanya maana kwa kufanya hivyo ni kuanza kampeni.
Je, Rais Mtarajiwa hawezi kuwekewa pingamizi hasa ukitilia maanani Mavuvuzela (Mtikila, yule wa TLP, NCCR na TPP maendeleo) nao ni wagombea wanaoweza kutumika kirahisi na WEVI hawa wa Chama Cha Mapinduzi kutimiza azma hiyo? Si kwamba mavuvuzela hayo yanaweza kutangulia kumwekea pingamizi Rais Slaa/ Samahani, namaanisha Rais Mtarajiwa Dokta Slaa?