Kwa vile wewe ni kuwadi wake.......nitaamini
sidhani kama ndani ya moyo wako unaamini kuwa atashinda. Ni vizuri ukazungumza ukweli........hatupeleki Ikulu wahuni, wasio na ndoa, wabebawake za watu. Ikulu ni mahali patakatifu na aliye mtakatifu ni JK tu
Ulevi wako utakuponza, usiongee kama mlevi....karibu leo Kigamboni upade dahawa ya Dakta Kikwete
Ulevi wako utakuponza, usiongee kama mlevi....karibu leo Kigamboni upade dahawa ya Dakta Kikwete
Mshashindwa.......hameni chama hicho
Mshashindwa.......hameni chama hicho
Mshashindwa.......hameni chama hicho
Kuna watu wanahoji izo ahadi zitatekeleka?
Huwa nawakwa na hasira kujibu maswali kama hayo Tz na utajiri wote huu kuanzia madini,mbuga mabonde mtu anadiriki kuuliza hayo.
Aiseeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Usiwe kama mwehu....ahadi za Rev Fr Slaa HAZITEKELEZEKI!