Elections 2010 Slaa siyo Issue CHADEMA?

Elections 2010 Slaa siyo Issue CHADEMA?

Kigarama

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2007
Posts
2,492
Reaction score
1,230
Tangu DK. Slaa apendekezwe na kamati kuu ya CHADEMA kuwa mgombea wa Chama hicho nimetembelea tovuti ya CHADEMA kuona kama habari yake imepewa nafasi ya kwanza lakini nimeambulia patupu. Tovuti hiyo mara ya mwisho ilihaririwa tarehe 26.03/2010.

Nikajiuliza ina maana kupendekezwa kwa Dk. Slaa kuwa mgombea wa CHADEMA siyo Issue??
 
...Tovuti hiyo mara ya mwisho ilihaririwa tarehe 26.03/2010.

Nikajiuliza ina maana kupendekezwa kwa Dk. Slaa kuwa mgombea wa CHADEMA siyo Issue??




jibu unalo!

  1. bado wavuti husika haijahaririwa.
  2. muda wa kampeni bado.
  3. chadema ni tofauti na ninyi ccm ambao ni mabingwa wa kutunga na kuvunja sheria za uchaguzi.
 
jibu unalo!

  1. bado wavuti husika haijahaririwa.
  2. muda wa kampeni bado.
  3. chadema ni tofauti na ninyi ccm ambao ni mabingwa wa kutunga na kuvunja sheria za uchaguzi.
Mambo ya kutungiana uongo hayasaidii katka kujenga hoja au kuzijibu.siyo kwamba kila anayeuliza mambo ya msingi kuhusu CHADEMA ni mwana CCM. Mimi ni mwanachama hai tena wa kupitia mtandaoni aina ya teknolojia iliyotumiwa na chama kupata wanachama wapya.

Hivi hata kuandika kwenye Website ya chama kwamba kamati kuu ya CHADEMA imempendekeza Slaa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA ni mpaka wakati wa kampeni ufike??
 
Mambo ya kutungiana uongo hayasaidii katka kujenga hoja au kuzijibu.siyo kwamba kila anayeuliza mambo ya msingi kuhusu CHADEMA ni mwana CCM. Mimi ni mwanachama hai tena wa kupitia mtandaoni aina ya teknolojia iliyotumiwa na chama kupata wanachama wapya.

Hivi hata kuandika kwenye Website ya chama kwamba kamati kuu ya CHADEMA imempendekeza Slaa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA ni mpaka wakati wa kampeni ufike??

Yawezekana CHADEMA wanatumia vema muda wao wakijua kuwa sehemu kubwa ya wapiga kura wa nchi hii hawana access na wavuti.Cha maana wakati huu si kuweka kitu katika wavuti, bali kuona jinsi gani ujumbe unaweza kuwafikia watanzania wengi zaidi, hasa kule kwetu vijijini ambako ndiko watu wanadanganywa zaidi. Watumia tovuti wanaoptions nyingi za kupata habari na kuchambua mambo.

Kama kuisahau wavuti kunawafanya wawafikie watu wengi zaidi, we need to salute CHADEMA kwa uamuzi huu:A S 39:
 
Mambo ya kutungiana uongo hayasaidii katka kujenga hoja au kuzijibu.siyo kwamba kila anayeuliza mambo ya msingi kuhusu CHADEMA ni mwana CCM. Mimi ni mwanachama hai tena wa kupitia mtandaoni aina ya teknolojia iliyotumiwa na chama kupata wanachama wapya.

Hivi hata kuandika kwenye Website ya chama kwamba kamati kuu ya CHADEMA imempendekeza Slaa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA ni mpaka wakati wa kampeni ufike??

Sasa mwanachama hai, unaonaje ungeweka kichwa cha habari hii vizuri ama ukawasiliana na wa husika kwamba jamani wekeni hii habari kwenye wavuti yetu? Nadhani kwa mwanachama hai, ungekuwa umekisaidia zaidi chama chako kuliko kuweka habari yenye kichwa tenge kama hiki! sorry ni mtazmo wangu tu!
 
sawa na kidori

Kumbe upo mkuu, ningeshangaa kama usingechangia hapa manake huachi kuwashangilia mafisadi, nadhani ulikunywa maji ya bendera ya kijani ukafumbwa macho kiasi kwamba huoni uovu wowote huko. Kimsingi chama cha mafisadi hamuwezi shinda bila rushwa na ole wenu mlimkosakosa Hosea sasa atawanyima pumzi wakati huu!
 
Mambo ya kutungiana uongo hayasaidii katka kujenga hoja au kuzijibu.siyo kwamba kila anayeuliza mambo ya msingi kuhusu CHADEMA ni mwana CCM. Mimi ni mwanachama hai tena wa kupitia mtandaoni aina ya teknolojia iliyotumiwa na chama kupata wanachama wapya.

Hivi hata kuandika kwenye Website ya chama kwamba kamati kuu ya CHADEMA imempendekeza Slaa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA ni mpaka wakati wa kampeni ufike??



  1. kwani kukuambia wewe mwana CCM nimekutukana?
  2. hiyo ya kamati kuu ya CHADEMA kumpendekeza Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA tayari ipo kwenye tovuti ya chama ambapo tarehe 12 agosti mgombea uraisi atateuliwa
  3. anayetangazwa siyo dr slaa, ni mgombea urais kwa tiketi ya chama kwa kukwepa kejeli simple minded people discuss people
  4. gonga hapa
 
Tangu DK. Slaa apendekezwe na kamati kuu ya CHADEMA kuwa mgombea wa Chama hicho nimetembelea tovuti ya CHADEMA kuona kama habari yake imepewa nafasi ya kwanza lakini nimeambulia patupu. Tovuti hiyo mara ya mwisho ilihaririwa tarehe 26.03/2010.

Nikajiuliza ina maana kupendekezwa kwa Dk. Slaa kuwa mgombea wa CHADEMA siyo Issue??

If I am right, Mh. Silaa aliombwa na uongozi wa juu kugombea Uraisi na wiki hii ndiyo amechukua fomu, vikao vya chama vya kumpitisha bado havijakaa.
 
Mchungaji Slaa ni 'Ceremonial candidate' Bora ajitoe kwani atafedheheka watanzania kamwe hawawezi kuongozwa na chama cha vilaza, ukabila na udini
 
jamani waliomchagua hawakukurupuka na wala sio vilaza kama ccm na huyu bull,ni watu makini na wenye akili timamu wenye uchungu na hii nchi kuwaamsha walio lala watambue wanahaki ya rasilimali za hii nchi na sio kuzifuja kama ccm.Dk Slaa ni issue sana CHADEMA wewe usiyemkubali bado umelala.
 
Back
Top Bottom