MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,107
- 4,612
Let;s discuss about it. Nakuomba mwana JamiiForums utoe maoni yako; je hii ilikuwa biashara?
Kama ilikuwa bishara, nani aliyekuwa anawauza hao watumwa?
Je, njia za upatikanaji watumwa mfano, kidnapping, Ambush, na ulaghai hiyo ni biashara?
historians je tukiulizwa how many African waliosafirishwa first kwenda EUROPE tutajibuje?
Je, ni kwa ujumla watumwa wangapi waliopelekwa Ulaya?
Naomba kuelewa kuhusu hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilikuwa bishara, nani aliyekuwa anawauza hao watumwa?
Je, njia za upatikanaji watumwa mfano, kidnapping, Ambush, na ulaghai hiyo ni biashara?
historians je tukiulizwa how many African waliosafirishwa first kwenda EUROPE tutajibuje?
Je, ni kwa ujumla watumwa wangapi waliopelekwa Ulaya?
Naomba kuelewa kuhusu hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app