Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Ni filamu ya kihindi iliyotengenezwa mwaka 2008 inayoonyesha maisha ya kijana aliyekulia mtaani na kuwa tajiri kwa bahati tu
Filamu ilianza kwa kumuonyesha muhusika Jamal, akiwa kwenye kipindi cha ‘who wants to be a millionaire’ kipindi kilikuwa kinauliza maswali mengi tofauti na atakaye patia majibu yote basi anapesa hela za kutosha za kuuaga umasikini
Kitita cha takribani Tsh milioni 600 kingetolewa kwa mshindi. Kijana Jamal alipata maswali mengi kiasi ambacho mwenye, shindano lake akaona anaibiwa na Jamal alikamatwa ili aseme ni kwa namna gani ameweza kupatia maswali mengi
Hapo ndipo kwenye filamu kwa kuwa maswali mengi aliyokuwa anaulizwa yalikuwa yanalenga kwenye maisha ya mtaani ambayo amepitia. Kwa kuwa hakupitia shule za kawaida alikosa swali moja kuhusu bendera ya nchi yao
Hii ni moja kati ya filamu iliyoonyesha maisha mabovu ya India, yale ya chini kabisa kuliko yale maisha ya uswahilini ya Tanzania. Je wewe ni filamu gani unaipenda?
Filamu ilianza kwa kumuonyesha muhusika Jamal, akiwa kwenye kipindi cha ‘who wants to be a millionaire’ kipindi kilikuwa kinauliza maswali mengi tofauti na atakaye patia majibu yote basi anapesa hela za kutosha za kuuaga umasikini
Kitita cha takribani Tsh milioni 600 kingetolewa kwa mshindi. Kijana Jamal alipata maswali mengi kiasi ambacho mwenye, shindano lake akaona anaibiwa na Jamal alikamatwa ili aseme ni kwa namna gani ameweza kupatia maswali mengi
Hapo ndipo kwenye filamu kwa kuwa maswali mengi aliyokuwa anaulizwa yalikuwa yanalenga kwenye maisha ya mtaani ambayo amepitia. Kwa kuwa hakupitia shule za kawaida alikosa swali moja kuhusu bendera ya nchi yao
Hii ni moja kati ya filamu iliyoonyesha maisha mabovu ya India, yale ya chini kabisa kuliko yale maisha ya uswahilini ya Tanzania. Je wewe ni filamu gani unaipenda?