warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Nasikia Kaka yetu Yule mwenye haiba ya kukejeli mastaa pindi tu scandal yeyote inapowakumba na kugeuza utani kwenye page yake , ameanza kuota mapembe kisa anatoka kimapenzi na mwanaume mwenzie ambaye ni manager mwenye pesa ndefu wa hotel moja maarufu iliyopo mjini.
Chanzo cha kuaminika kinasema, Toka star huyo awe na mahusiano na mkuu huyo kwenye hiyo hotel , amekua akijitawala hotelin hapo ambapo mara kwa Mara huenda hotelin apo mda mwingine akiwa na marafiki zake wakienda kula bata , na kuwafokea baadhi ya wafanyakaz wa hapo.
Star huyo mwenye muonekano wa kujazia, mrefu na mwenye matege kiasi, amekua kero kwenye hotel hyo , Kwan Mara kwa Mara amekua akienda ku record vipind kwenye hotel hyo ya danga lake.
Mnyetishaji wa ubuyu amesema c star huyo tu ambaye anamfanya mchezo mchafu , bali wapo mastar kibao ambao hufanya nao mchezo mchafu na kuwalaghai pesa vijana Hao wenye Tamaa ya maisha mazuri
Star huyo amepost Leo clip ya video akiwa na washindi wake anaowajua ambapo aliwapeleka dinner date kwenye hotel hiyo .
Mmmh mji mpana huu na una joto kaliii
Sent from my iPhone using JamiiForums
Chanzo cha kuaminika kinasema, Toka star huyo awe na mahusiano na mkuu huyo kwenye hiyo hotel , amekua akijitawala hotelin hapo ambapo mara kwa Mara huenda hotelin apo mda mwingine akiwa na marafiki zake wakienda kula bata , na kuwafokea baadhi ya wafanyakaz wa hapo.
Star huyo mwenye muonekano wa kujazia, mrefu na mwenye matege kiasi, amekua kero kwenye hotel hyo , Kwan Mara kwa Mara amekua akienda ku record vipind kwenye hotel hyo ya danga lake.
Mnyetishaji wa ubuyu amesema c star huyo tu ambaye anamfanya mchezo mchafu , bali wapo mastar kibao ambao hufanya nao mchezo mchafu na kuwalaghai pesa vijana Hao wenye Tamaa ya maisha mazuri
Star huyo amepost Leo clip ya video akiwa na washindi wake anaowajua ambapo aliwapeleka dinner date kwenye hotel hiyo .
Mmmh mji mpana huu na una joto kaliii
Sent from my iPhone using JamiiForums