Smart Gin inaupiga mwingi, Double Kick iko hoi sokoni

Smart Gin inaupiga mwingi, Double Kick iko hoi sokoni

Heci

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
3,591
Reaction score
6,114
Hii ni kwa wadau wa pombe za bei chee, nyie wa K Vant, Konyagi, Black and White, Tequila, Sambuca, Johnny Walker ya Pascal Mayalla mtuache kidogo, Watanzania halisi tuna jambo letu.

Double Kick ilipoingia sokoni kuchukua nafasi ya viroba chapa jogoo na viroba vya Konyagi, ilipata wateja wengi sana ikiwa na ladha ya nanasi na harufu kali sana.

Smart Gin wakajipanga, wakaleta kinywaji chenye ladha nyororo, kisicho na harufu za kishetani, kisicho na hangover wala kukwaruzs kooni.

Mdogo mdogo, watu wakaanza kuielewa Smart Gin. Leo Double Kick inasugua tu bench, watu wanaipita bila hata salamu.
 
SO USHAJIPA NAFASI YA USEMAJI WA WALEVI WOTE TANZANIA??? AFU UMESAHAU KULIPIA TANGAZO
 
ni kama kanda ya ziwa shimha ilikuwa juu ila kali kama double kick na kero kubwa ni harufu inabaki hadi kwenye jasho la nguo sasa kuna ambiance kutoka bukoba inakimbiza sana haina harufu kabisa
 
Back
Top Bottom