Mkuu umenikumbusha kamchezo mabank mengi yameanzisha siku hizi ya scan lipa sepa[emoji23][emoji23]... Hata mpesa wana hii huduma.Tunaishi kizazi cha barcode.. Ndio usasa... Ndio ujanja... But do we really know the secret behind this? View attachment 992154View attachment 992155View attachment 992156
Jr[emoji769]
Password nimeweka lakini mke wangu anazifahamu, kama mimi ninavyofahamu zake.Yeah sahihi kabisa lakini vipi kuhusu password!?
Jr[emoji769]
Vipi unasemaje mtu asipobeba smartphone yenye hiyo downloaded bible na badala yake akabeba bible halisi (kitabu) kwa kutumia mikono yake ambayo amekuwa akiitumia kumwaga damu, kufanyia wizi, ujambazi, wizi wa kalamu, bahili, ufanyia uzinzi na kadhalika? Maana tusijifanye kupinga au kushindana na technology wakati hata hiyo bible kitabu ni matokeo ya technology.Yeah sahihi kabisa lakini vipi kuhusu password!?
Jr[emoji769]
Bado ni yale yale japo hayana neno la siriVipi unasemaje mtu asipobeba smartphone yenye hiyo downloaded bible na badala yake akabeba bible halisi (kitabu) kwa kutumia mikono yake ambayo amekuwa akiitumia kumwaga damu, kufanyia wizi, ujambazi, wizi wa kalamu, bahili, ufanyia uzinzi na kadhalika? Maana tusijifanye kupinga au kushindana na technology wakati hata hiyo bible kitabu ni matokeo ya technology.
Yani hapo unanizungumzia mimi kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]Napata shida pia...
simu umedownload xxxvideos za kutosha halafu humo humo una biblia na kitabu cha nyimbo.... si sawa
Kuna wakati akili huhama[emoji23][emoji23][emoji23]Daah eti nayeye ameji-record kabisa kama Amateur ....ama kweli mjini kila mtu baby uzee mwisho chalinze ...
Mara nyingi ndio inavyo kuwaga ..ukitafuta pesa kwa maagano na shetani " inapotokea ukavunja masharti lazima mwisho wako uwe mbaya tu
Haha nasadiki maneno yako aise ..Kuna wakati akili huhama[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah !!!Hasa tukiwa maeneo husika[emoji24][emoji24][emoji85][emoji85][emoji85]