[emoji109][emoji123][emoji109]
Jr[emoji769]
Leo Chief Mshana,ameingia choo cha kike kbs Bro
Uislam upo na Waislam wapo
Uislam unaweza ukawa tofauti saaana na weengi wale wanaojiita Waislam
Kisha
Bandiko la Mshana,amekopi na kupasti huku akiamini kuwa ni Ukweli
Kwann Chief Mshana,asituletee kuhusu namba 666 kwa upande wake zaidi,maana huko ndio kwake na anapajua vema,kuliko kuongea jambo la upande mwengine,ilihali ni mjinga napo...!!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Barikiwa sana bro.Mungu katupa akili tuitumie kumtumikia,kumtumikia siyo kuimba mapambio na kufanya miujiza na mikwara,hii kufumbua watu macho kwa mitego ya ibilisi ni kumtumikia Mungu,
Welldone brother
Sent using Jamii Forums mobile app
nilikuwa sikakuelewa best..mafutataa hayachanganywi na majiMshana Jr, kwani unapokuwa na bible na cm yenye vitu tata iko mfukoni una tofauti ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonesha wewe ni msabato (666 ya Papa)Usasa una yake mazuri na ya kuchukiza... Ya nuruni na ya sirini.. Yote hayakwepeki... Kuna moja lililo wazi...! Hata kama hatutapenda kulijadili kwa unafiki na uzandiki wetu... MFUMO KRISTO UNATAWALA DUNIA....!
Mwezi uliopita tulipata msiba mtaani kwetu... Jamaa yetu jirani (mlevi mzuri wa 'pure' namba one alipata ajali na kufariki hapohapo!!! Aligongwa na gari mitaa ya mbezi akitoka kutoa lock... Msiba ulikuwa na kila aina ya vituko kutokana na aina ya maisha aliyokuwa nayo marehemu na aina ya kampani yake... Hii sio kesi kabisa!
Alizikwa kwa imani yake ya kiislam... Ustaadh aliyeongoza ibada ile ya mazishi alikuwa kijana wa makamo lakini wa kileo sana... Pale makaburini aloliongoza ibada ile ya mazishi kupitia iPad kali aliyokuwa kabeba... Juzuu, mistari na utaratibu mzima wa mazishi yale, alitumia version ya mtandaoni kupitia iPad.. Quran for Android ya mtandaoni
Kuna wakati alipata usumbufu wa nadhani jumbe za WhatsApp na za kawaida na kama mara mbili alipigiwa simu alizokata ili uweze kuwa na mwendelezo wa ibada bila bughudha... IPad ile alitumia password kuifunga na kuifungua... Nikajiuliza Ustaadh anajua kweli maana ya password?
Imani yangu ni mkristo, huwa nasali makanisa tofauti.. Kuna baadhi ya makanisa, maaskofu, wachungaji na wahubiri wao huona ni sifa na usasa kutumia downloaded Bible toka kwenye simujanja zao na ipads kusoma neno na nukuu mbalimbali
Nina ukakasi mkubwa kwenye hili... Tunaishi kwenye ulimwengu wa namba ya siri... 666... Namba ya MFUMO KRISTO mpinga KRISTO, lakini wengi wetu hatulitambui hilo...
Siku hizi makufuli na vitasa havina nguvu na thamani kivile... Maisha yetu yametawaliwa na namba ya siri kuanzia
Mitandaoni
Huduma za kifedha
Huduma za bank
Huduma binafsi
Simu zetu
Anuani zetu
Manunuzi yetu
Miamala mbalimbali
Shughuli za kijamii
Shughuli za kidini nknk
Hata miamala na malipo mbalimbali serikalini yanakutambua kwa namba maalum ya mlipa kodi yenye namba ya siri...
Yote juu ya yote simu janja yako (smart phone) uliyo download msahafu kwa imani yako.. Unathubutu vipi kuitumia kwenye nyumba takatifu ya ibada!? Una
Jumbe za mapenzi
Una mapicha ya aibu
Una video za kutia kinyaa
Una calls na mapenzi uhasama na visasi
Una vitu vingi vinavyowakilisha ulimwengu wa giza, sahau nyimbo za mapenzi na Ujinga mwingine, michepuko hata ulozi... Unapata wapi uthubutu wa kuvichanganya hivi na msahafu unaoheshimika na kujaa utakatifu!!?
Hupaswi kulaumiwa kwakuwa hujui...wala Kiongozi wako wa dini hapaswi kulaumiwa kwakuwa hana uwezo wa kulizuia hili.... Dunia inatawaliwa na namba ya siri... Ambayo ni 666.... Namba ya mpinga KRISTO.... Imo mpaka kwenye nyumba za ibada... Zaka na sadaka kwa tigo pesa, mpesa nknk....
Ikubali uishi... Ikatae ufe... Namaanisha namba ya siri 666... Hata kondom zako 3 ni kiwakilishi cha namba ileile ya siri... Matumizi yake unajenga na kuimarisha madhabahu unayojaribu kuipinga.... Utabaki kuwa mjinga....
Lala salama...!!!
Jr[emoji769]
kuna Biblia Takatifu...na sio sim Takatifu
Matumizi mabaya ya teknolojia hayawezi kuwa hoja ya kupinga matumizi ya teknolojia. Hizo Picha chafu na uchafu wote uliotaja si programs zinazotengenezwa na Simu bali mtu anaweka mwenyewe kutokana na dhambi iliyo moyoni mwake. Utakatifu wa neno la Mungu hauko ktk material lilipoandikwa bali neno lenyewe. Fikiria kama manabii name mitume walioacha maandishi yao kwenye ngozi tena ikitunzwa hekaluni wakafufuka leo wakute hizi karatasi ndogo zilizochapwa Biblia si watatushangaa kwamba tumepotoka?
Kila zama ina teknolojia yake na Mungu ndiye mwenye teknolojia yote ,tusichanganye dini na ushamba ila dini itumie teknolojia kufikisha ujumbe wa Mungu kwa haraka. Soma Daniel 12:4. Nina mashaka sana na tafsiri yako kuhusu alama ya 666
jmosi umetumia simu kujirekodi ukifanya "matusi", jumapili unakwenda nayo kanisani na unaitumia kama biblia!!
Halafu ulivyo kimbelembele kumkemea shetani!!! mp.uuzi wewe! wakati ni ndugu yako wa damu.Huu ni usaliti pia