KipenkaHQ Member Joined Aug 3, 2016 Posts 8 Reaction score 19 Jan 18, 2020 #1 Inakaa na chaji siku nzima Unaichaji lisaa 1 tu Nakuletea ikiwa mpya Newfull box yaani saa yenyewe ikiwa na betri moja na USB tayari kwa matumizi Sim Card and Memory Card Unaweza kupiga na kupokea simu kama kawaida Na kioo chake ni cha touch Ina sound kubwa kama simu ya kawaida kabisa Karibu namba ya mawasiliano ni 0752886244 bei yake ni TSH55,000/= Free Delivery kwa Dar na Mikoani tunatuma.
Inakaa na chaji siku nzima Unaichaji lisaa 1 tu Nakuletea ikiwa mpya Newfull box yaani saa yenyewe ikiwa na betri moja na USB tayari kwa matumizi Sim Card and Memory Card Unaweza kupiga na kupokea simu kama kawaida Na kioo chake ni cha touch Ina sound kubwa kama simu ya kawaida kabisa Karibu namba ya mawasiliano ni 0752886244 bei yake ni TSH55,000/= Free Delivery kwa Dar na Mikoani tunatuma.
nipekidogo JF-Expert Member Joined Apr 17, 2019 Posts 1,587 Reaction score 3,035 Jan 18, 2020 #2 Aise Sent using Jamii Forums mobile app
nipekidogo JF-Expert Member Joined Apr 17, 2019 Posts 1,587 Reaction score 3,035 Jan 18, 2020 #3 Kwamba unaempigia na yeye lazima awe na saa km hiyo au unaweza kupiga kwenda no ya sim? Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba unaempigia na yeye lazima awe na saa km hiyo au unaweza kupiga kwenda no ya sim? Sent using Jamii Forums mobile app
KipenkaHQ Member Joined Aug 3, 2016 Posts 8 Reaction score 19 Jan 18, 2020 Thread starter #4 Hapana sio lazima awe na saa hata akiwa na simu pia na aichagui mitandao ya simu una weza kupiga kutuma sms kwa kutumia saa na una weza uka connect saa yako na simu yako pamoja
Hapana sio lazima awe na saa hata akiwa na simu pia na aichagui mitandao ya simu una weza kupiga kutuma sms kwa kutumia saa na una weza uka connect saa yako na simu yako pamoja