Sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu zimenistua

Sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu zimenistua

majuto ni mjukuu

New Member
Joined
Feb 18, 2025
Posts
1
Reaction score
37
Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam

Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)

Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika

Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka

Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:33 usiku-- wameoga

Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:36 usiku-- wamekula

Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula

Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.

Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.

Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
 
Mkuu Relax,.hizo sms mbona hazina utata mkubwa kiivyo. Kuna watu tumeshuhudia matetemeko mazito na tumetulia tu.
Nakuombea shemeji azidi kuwa muaminifu milele maana inaonekana akikusaliti unawezaCommit suicide au homicide
 
Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam

Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)

Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika

Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka

Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:33 usiku-- wameoga

Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:36 usiku-- wamekula

Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula

Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.

Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.

Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
Kaka, wazee wa zamani wakisafiri kwa muda... wakati wa kurudi lazima atangulize mizigo nyumbani kabla yeye hajafika. ( hii ni code) unafikiri walifanya hivyo kwa nini??
 
Nilipata safari ya kwenda kikazi, nilikaa huko kwa muda wa wiki Moja then nimerudi nyumbani dar es salaam

Leo nimeikagua simu ya mke wangu nimekutana na sms ambazo alikuwa anatumiana na dada wa kazi (nyumbani kwetu)

Dada wa kazi saa 19:27 usiku --dada tayari nimepika

Mke saa 19:30 usiku-- watoto wameamka

Dada wa kazi saa 19:31 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:33 usiku-- wameoga

Dada wa kazi saa 19: 34 usiku-- ndio dada

Mke saa 19:36 usiku-- wamekula

Dada wa kazi saa 19: 38 usiku--ndio wamekula

Hizo ndio sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu, maswali ya mashaka ni saa 19:30 ya usiku yeye alikuwa wapi mpaka akawa anataka kujua taarifa za nyumbani , je hakuwepo nyumbani kwa muda gani ? Na je alirudi baada ya muda gani.

Nimejaribu kumuuliza maswali hayo lakini napewa majibu mepesi sana, naambiwa baba fulani sasa umezidi sana.
Ananiambia nilienda ofisini kwa mama fulani (iyo ofisini ipo karibu sana na nyumbani )
namuuliza kama ulikuwa karibu namna hiyo kwanini hukurudi nyumbani kujionea kinacho endelea na ukajikita kwenye kuuliza maswali.

Kwa kifupi ni kwamba majibu ninayopewa ni mepesi sana, huyu mwanamke ni mke wangu na nimekuwa nae kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tuna watoto wawili.
Hayo ni manyoya tu mkuu, huwezi mpata kanga (ushahidi) maana keshaliwa.
 
Hio nyepesi kabisa hiyo tukisimulia yetu mkuu kama ni wewe utaua mtoto wa mtu
Nimekaa na mke wangu miaka kumi nilimwamini sana lakini tukio nilililo kuja kutana nalo siwezi muamini mwanamke wa aina yoyote ile napigania TU wanangu wasihisi tofauti yoyote mungu akiniweka hai Hadi wakue wamalize masomo Yao ndio labda niwasimulie mkasa mzima wanawake ukiwapenda sana wanakupotezea malengo amini hivyo
 
Ndoa za siku hizi bwana!
Sasa hio kufuatilia hivyo , haitoshi umekuja kuliweka mtandaoni!
Ndio kusema wanaume tumeshindwa kuzibeba changamoto za kwenye ndoa?
Ni miaka saba sasa bado hamuaminiani mtatoboa miaka 50 ya ndoa kweli kama wazee wetu?
 
Back
Top Bottom