Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 144
Katika kile kinachoelezewa kama umbu umbu na kutoona mbali kwa viongozi wa SMZ,imegundulika kuwa ni wao waliochangia hatua ya Marekani kuwakataza raia wake kutembelea Pemba kwa kile kilichoelezwa kuwa hali tete ya usalama.
Mwanasiasa kijana machachari wa CUF Ismail Jussa Ladhu anaielezea hali hii kama ni uzembe wa viongozi wa SMZ ambao ndio walioilezea dunia kuwa kuna vitendo vya ugaidi vinavanyika Pemba na kudai kuwa wamegudua milipuko iliyokusudiwa kutumika katika harakati hizo za kigaidi.
Endelea na story kutoka The Citizen story..........
The US last week advised American citizens against visiting Pemba.
Commenting on the US reaction to Zanzibar minister�s remarks that Americans have a hidden agenda against the Isles, Mr Jussa said the government officials had themselves to blame for the Isles negative image.
He said that statements such as those made by a Zanzibar minister suggesting that there were terrorist activities in Pemba, were the ones that raise an alarm in the international community.
"Ministers should stop shaming this country. How can a minister issue a statement indicating there are terrorist activities in Pemba? What do you expect foreigners to react after such a remark?" he asked.
There has been a hot debate over the recent US travel advisory, warning its citizen against visiting Pemba, with a Zanzibar state Minister, Hamsa Hassan Juma, saying the superpower has a hidden agenda against Zanzibar.
US reacted quickly by saying other than wishing to see improvement in the political situation in Zanzibar, Americans have no other agenda on the Clove Islands.
source: the citizen
Mwanasiasa kijana machachari wa CUF Ismail Jussa Ladhu anaielezea hali hii kama ni uzembe wa viongozi wa SMZ ambao ndio walioilezea dunia kuwa kuna vitendo vya ugaidi vinavanyika Pemba na kudai kuwa wamegudua milipuko iliyokusudiwa kutumika katika harakati hizo za kigaidi.
Endelea na story kutoka The Citizen story..........
The US last week advised American citizens against visiting Pemba.
Commenting on the US reaction to Zanzibar minister�s remarks that Americans have a hidden agenda against the Isles, Mr Jussa said the government officials had themselves to blame for the Isles negative image.
He said that statements such as those made by a Zanzibar minister suggesting that there were terrorist activities in Pemba, were the ones that raise an alarm in the international community.
"Ministers should stop shaming this country. How can a minister issue a statement indicating there are terrorist activities in Pemba? What do you expect foreigners to react after such a remark?" he asked.
There has been a hot debate over the recent US travel advisory, warning its citizen against visiting Pemba, with a Zanzibar state Minister, Hamsa Hassan Juma, saying the superpower has a hidden agenda against Zanzibar.
US reacted quickly by saying other than wishing to see improvement in the political situation in Zanzibar, Americans have no other agenda on the Clove Islands.
source: the citizen