TUPACified
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,367
- 604
Nikiwa Chalii nilikuwa namchukuliaga Snoop kama definition ya Certified G, the G's G. Mshkaji made getting faded look cool, for us wanna-be Gz. Ila Jamaa siku hizi simuelewi kabisa, hata muziki anaofanya. Last time naskiliza ngoma zake alikuwa ana-spell tu jina lake almost kila ngoma. Mtu mzima anazinguana na ma-dame siku hizi kwenye mitandao ya kijamii, Gz never do that, matter-fact, Men shouldn't do that.
Jana nime-chill kitaa nikakutana na The Roast of JB, Comedy Central. Snoop alikuwa mmoja wa Roasters, kaharibu kinoma. Kevin Hart alimchana ki-utani ila alimaanisha sana tu, Snoop ni mtu mzima sana kufanya anayofanya saivi. Too much weed makes you stupid arif.
Btw, nilikuwa sijui kama Rappers nao wana-roast watu siku hizi.
Jana nime-chill kitaa nikakutana na The Roast of JB, Comedy Central. Snoop alikuwa mmoja wa Roasters, kaharibu kinoma. Kevin Hart alimchana ki-utani ila alimaanisha sana tu, Snoop ni mtu mzima sana kufanya anayofanya saivi. Too much weed makes you stupid arif.
Btw, nilikuwa sijui kama Rappers nao wana-roast watu siku hizi.
