Snoop Dogg anazingua kinoma

Snoop Dogg kwenye ngoma ya wigle wigle na Jason derula yaani ni bustani ya sukari guru yaani ukicheki ukiwa juu ya wider yaaani ni sana tuuuu bofya hapo u tube unitafute hapa .
 
Snoop Dogg kwenye ngoma ya wigle wigle na Jason derula yaani ni bustani ya sukari guru yaani ukicheki ukiwa juu ya wider yaaani ni sana tuuuu bofya hapo u tube unitafute hapa .
Kila kitu kwenye hiyo ngoma ni freakin' cliche, na verse ya Snoop ni moja ya verse mbovu kabisa katika historia ya rap. Ila kama uko chini ya miaka 15, na hufatilii rap, then nakuelewa ukisema hivyo ulivyosema.
 
Hip hop ni mziki mgumu na mistari ya kigumu ila aliyemshika ni mtoto wa mama na pengine alimwambia asikaze sana mistari ili maudhui ya ngoma yenyewe ifananie na hizo sukari guru ila ukifuatilia Dogg ni mgumu sana tusimhukumu kivile .
 

Arif mm taka kitu cha Arusha, kitu cha Kilolo huku Iringa hakina mzuka
 

Kama mtazamo wako ndio huu, basi hakuna noma. And btw, Chalii ndio kwanza ka-join NFL juzi, huo u-star mkubwa katoa wapi?

kijana ndio kwanza kajiunga college,NFL Kaanza lini?....chekini vizuri source za info zenu...
 
Hip hop ni mziki mgumu na mistari ya kigumu ila aliyemshika ni mtoto wa mama na pengine alimwambia asikaze sana mistari ili maudhui ya ngoma yenyewe ifananie na hizo sukari guru ila ukifuatilia Dogg ni mgumu sana tusimhukumu kivile .
Hip-hop ni muziki wa uhalisia zaidi, na kuna mapenzi pia ndani yake. Sijasema chochote kuhusu ugumu au ulaini wa verse ya Snoop, nachosema ni moja ya verses za kipuuzi nilizowahi kuskiliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…