Snoop Dogg Embraces Islam!!!MUST SEE!!


kwenye bluu hapo twende sawa Mungu.

anyway, Snoop Dogg hapo kapotea zaidi ni bora angebaki na maisha yake ya kidunia kuliko kwenda kwenye deen ambayo mpaka leo huyo aliyeianzisha anasubiri judgement kama raia wengine. anyway siku zote Waislamu wamekuwa wajinga wa kutupwa hasa sehemu nilipo hapa kuna siku walikuwa wanaangalia video inayoonyesha masupataa wakiwemo Anelka, Frank Ribbery, Loon, Van Persie na wengine wengi walikuwa wakisilimu jamaa walikuwa wanashangalia mpaka walimwaga biriani chini ya sakafu wakaanza kula...
hivi huwa hawajui kama safari ya kwenda mbinguni ni personal???
kusilimu kwa Snoopy hakubadilishi kitu ktk maisha yako ya wokovu,
 
 
"mimi ni njia,kweli na uzima,hakuna atakae kwenda kwa baba ila kupitia kwangu" "amin amin nawaambieni dunia itapita lakini maneno yangu hayatapita" "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" thanx Jesus
 
Yaani ni wale wale wavuta bange na wabwiaji ndio wanpenda ile deen. Kaazi kwer kwer
 
kwanini mastaa wanapochoka katika fani zao hukimbilia uislam? Im puzzeled


sio mastaa tu, hata wasiokuwa mastaa wanapochoka, qur an takatifu na khadith zimeelezea watu wanaomrudia mungu wapatapo matatizo, na hii ni asilimia 90 ya watu wanaojikurubisha kwa mungu pindi wawapo na matatizo including you, sisemei moyo wa mtu ila nafsi yako yajua zaidi matendo yako.

Kwa maoni yako unaona loon kaingia uislam baada ya kuchoka/kuishiwa, basi ni bora yake anaemtafuta mungu wake na njia sahihi kuliko kujilazimisha kubaki ktk imani usiyoijua vizuri, am sure huufahamu ukristo vizuri zaidi ya nyimbo na mapambio.
 
anataka kuchafua tu dini za watu coz bdo anaendelea na maporno industry yake
 
Kuacha maovu ni njia njema kuongoka ni hatua...Kuongoka kupitia njia sahihi ni njema sana tena yampendeza Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…