Unajua niliposoma hii heading nilipatwa na fadhaa! Nijuavyo hawa jamaa ni walikuwa kama ndugu wa damu asa uhasimu waliuanza lini? kumbe alikuwa anamaanisha kinyume chake..................teh teh teh teh basi nami kuanzia leo wana JF ni mahasimu wangu .................teh teh teh teh teh teh teh