So, how long are you staying ? Tuuchukue!

So, how long are you staying ? Tuuchukue!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Mimi mpenzi sana wa movie za Kimagharibi, mara nyingi huwa nasikia kwenye scene ambapo mgeni kamtembelea mwenyeji, mwenyeji humuuliza mgeni hata kama ni Baba yake“ so how long are you staying?“ hilo swali nimelipenda sana, ikiwezekana uje Tanzania na tuutafsiri kwenye Kiswahili chetu, mgeni akija kukutembelea hasa wale wa bila taarifa siku akifika tu tumuulize“ so how long are you staying?“ , ni lazima atasepa tu, hatolewea kwako na kukupa mzigo, …
 
Utatangazwa kuwa ni mchoyo na una roho mbaya sana. Waafrika wanapenda wakija wake wajiachie uwahudumie mpaka watakapoamua kuondoka wenyewe hata kama ni mwaka.

Wasukuma nasikia wanahamiaga kabisa ukoo mzima. Ukioa huko hadi baba mkwe wako anahamia kwako.
 
Yani wenzetu wametuacha mbali Sana kwenye kuwa wawazi. Kuna ule msemo wao mwingine mgeni akija wanamwambia You can't sleep here there is no space, hapo mgeni ataambiwa akalale motel hata Kama Mama mzazi.

Wakati huku bongo Watoto watalazwa sebleni mgeni apate space.
 
Mimi mpenzi sana wa movie za Kimagharibi, mara nyingi huwa nasikia kwenye scene ambapo mgeni kamtembelea mwenyeji, mwenyeji humuuliza mgeni hata kama ni Baba yake“ so how long are you staying?“ hilo swali nimelipenda sana, ikiwezekana uje Tanzania na tuutafsiri kwenye Kiswahili chetu, mgeni akija kukutembelea hasa wale wa bila taarifa siku akifika tu tumuulize“ so how long are you staying?“ , ni lazima atasepa tu, hatolewea kwako na kukupa mzigo, …
Mkuu sio kila kitu tunapaswa kukopi . Huo Ni utamaduni wao tukubali na kuheshimu utamaduni wao lakini pia tujivunie utamaduni wetu. Ukiendelea na fikra za namna hiyo ipo siku utanunua vipodozi ubadilishe ngozi yako ili ufanane na hao ambao unahusudu utamaduni wao..
Waafrica wengi bado tunautumwa wa kifikra kwa kufikiri kila wanachokifanya wazungu Ni sahihi na kinafaa kwetu pia hujui kwamba wao wamefika kwenye point of no return . Wanatamani kuwa Kama sisi kwenye baadhi ya Mambo ambayo sisi tunayaona hayana maana lakini ndio hivyo haiwezekan tena.

Thamini chako, kiheshimu chako Cha mwenzio sio chako na hakikuhusu.
Funguka
 
Hata bongo baadhi ya family ni kawaida, since the last time nimeondoka nyumbani na kujitegemea, home kila nikienda kuwatembelea wanahesabu kama mgeni, bi mkubwa hii kauli lazima aanze nayo, “Enhee mgeni wetu upo kwetu kwa mda gani, si unajua mjini tunaishi kwa budget 😅.
 
Utatangazwa kuwa ni mchoyo na una roho mbaya sana. Waafrika wanapenda wakija wake wajiachie uwahudumie mpaka watakapoamua kuondoka wenyewe hata kama ni mwaka.

Wasukuma nasikia wanahamiaga kabisa ukoo mzima. Ukioa huko hadi baba mkwe wako anahamia kwako.
Acha ujinga wewe
 
Yani wenzetu wametuacha mbali Sana kwenye kuwa wawazi. Kuna ule msemo wao mwingine mgeni akija wanamwambia You can't sleep here there is no space, hapo mgeni ataambiwa akalale motel hata Kama Mama mzazi.

Wakati huku bongo Watoto watalazwa sebleni mgeni apate space.
Hiki unachowasifia hujui tu nikwanamna gani kinawagharimu.Hii hatua furahi kuiona kwa wenzio hivyo hivyo lakini sio hatua ya kutamani uwe sehemu ya jamii inayoishi katika mazingira hayo.
Ukiondoa hizo takataka za kimagharibi kichwani mwako unaweza walau kufikiri sawasawa maana kinachokusumbua Ni kwamba your point of reference Ni Western culture .
Kwako wewe Ni sahihi kwa mzazi kulelewa kwenye vituo vya kulelea wazee huku watoto wake wakifurahi beach ?

Najua unachokitamani Ni aidha unasimuliwaga tu au unakiona kwenye movies lakini kikija kwako kwenye uhalisia hutokipenda hasirani.
 
Mimi mpenzi sana wa movie za Kimagharibi, mara nyingi huwa nasikia kwenye scene ambapo mgeni kamtembelea mwenyeji, mwenyeji humuuliza mgeni hata kama ni Baba yake“ so how long are you staying?“ hilo swali nimelipenda sana, ikiwezekana uje Tanzania na tuutafsiri kwenye Kiswahili chetu, mgeni akija kukutembelea hasa wale wa bila taarifa siku akifika tu tumuulize“ so how long are you staying?“ , ni lazima atasepa tu, hatolewea kwako na kukupa mzigo, …
Hii kwa utamaduni wetu kwa sasa ni ngumu kutekelezeka. Utaishia kuitwa mchoyo!
 
Utatangazwa kuwa ni mchoyo na una roho mbaya sana. Waafrika wanapenda wakija wake wajiachie uwahudumie mpaka watakapoamua kuondoka wenyewe hata kama ni mwaka.

Wasukuma nasikia wanahamiaga kabisa ukoo mzima. Ukioa huko hadi baba mkwe wako anahamia kwako.
Utaacha watu waogope kuoa Wasukuma sasa. Ukoo mzima unahamia kwa mkwe! Hii kiboko!
 
Mgeni akija huwa ktk story lzima uweke utani wa serious sio kumwambia live kwa familia zetu, mfano mi ntamwambia hapa tunaish kisela we jiskie huru mpish kama unavyoniona naingia jikoni kama hivi kwasababu mgeni umekuja, kama kuna kunguni mbu ntamwambia ili ajue anaka mudaa gani
 
Mimi mpenzi sana wa movie za Kimagharibi, mara nyingi huwa nasikia kwenye scene ambapo mgeni kamtembelea mwenyeji, mwenyeji humuuliza mgeni hata kama ni Baba yake“ so how long are you staying?“ hilo swali nimelipenda sana, ikiwezekana uje Tanzania na tuutafsiri kwenye Kiswahili chetu, mgeni akija kukutembelea hasa wale wa bila taarifa siku akifika tu tumuulize“ so how long are you staying?“ , ni lazima atasepa tu, hatolewea kwako na kukupa mzigo, …
Umagharibi magharibi utakuponza shekh

Kuna leo na kesho ..leo unavho keaho huna ukiendankwake na yy atakuuliza swali ilo ilo
 
Yani wenzetu wametuacha mbali Sana kwenye kuwa wawazi. Kuna ule msemo wao mwingine mgeni akija wanamwambia You can't sleep here there is no space, hapo mgeni ataambiwa akalale motel hata Kama Mama mzazi.

Wakati huku bongo Watoto watalazwa sebleni mgeni apate space.
Mie huwa mgeni ndiye atalala sebuleni.
 
Back
Top Bottom