Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
Kweli kabisaa hizi lugha SSA naona zinatumika isivyowanahitaji kutumbuliwa - huu ni upuzi mkubwa. Tume ya mawasiliano nadhani wanahusika pia katika kusema jambo.
OhoooHawana marinda hawa.
Hapana Mkuu. Pamoja na Majina mengi ya Promotion zilizoletwa na Mitandao ya Simu, hiyo hapo ni Editing. Watu wamefanya yao tu.Jamani sasa huku tunakoelekea siko kabisaa hata kama ndio biashara but mmezidi sasa
imeanza JAZA UJAZWE
sasa imekuja WEKA UTIWE[emoji38]
Na hii je?Hapana Mkuu. Pamoja na Majina mengi ya Promotion zilizoletwa na Mitandao ya Simu, hiyo hapo ni Editing. Watu wamefanya yao tu.
Ukiangalia Tangazo la Halotel, hayo maneno hayapo.
Nimekosea hapo[emoji115]Na hii je?
Na hii je?
Jamani sasa huku tunakoelekea siko kabisaa hata kama ndio biashara but mmezidi sasa
imeanza JAZA UJAZWE
sasa imekuja WEKA UTIWE[emoji38]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]siweki tena vocha!
mkuu hutaki kutiwa??siweki tena vocha!
mkuu hutaki kutiwa??
usitafsiri kwa maana yako tusiharibiane swaum
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Weka tu mkuu wanasema sio kweli ni editing
Bannedwala hawana tatizo lolote ninyi ndo mliona matatizo ..... jirekebisheni