So sad

Husna Muba

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
14,524
Reaction score
44,577
Jamani sasa huku tunakoelekea siko kabisaa hata kama ndio biashara but mmezidi sasa
imeanza JAZA UJAZWE
sasa imekuja WEKA UTIWE[emoji38]
 
Reactions: Lee
wanahitaji kutumbuliwa - huu ni upuzi mkubwa. Tume ya mawasiliano nadhani wanahusika pia katika kusema jambo.
Kweli kabisaa hizi lugha SSA naona zinatumika isivyo
 
hahaha nakumbuka wakati wa uzinduzi wa tangazo la tigo (jaza ujazwe) kwenye xxl clous joti alisema lazima mitandao mingine watiga akawa anakisia majina watakayotumia ikiwemo na ilo na kweli wameiga

creativity 0
 
Jamani sasa huku tunakoelekea siko kabisaa hata kama ndio biashara but mmezidi sasa
imeanza JAZA UJAZWE
sasa imekuja WEKA UTIWE[emoji38]
Hapana Mkuu. Pamoja na Majina mengi ya Promotion zilizoletwa na Mitandao ya Simu, hiyo hapo ni Editing. Watu wamefanya yao tu.

Ukiangalia Tangazo la Halotel, hayo maneno hayapo.
 

Attachments

  • IMG_20170531_161511_247.JPG
    62 KB · Views: 30
Hapana Mkuu. Pamoja na Majina mengi ya Promotion zilizoletwa na Mitandao ya Simu, hiyo hapo ni Editing. Watu wamefanya yao tu.

Ukiangalia Tangazo la Halotel, hayo maneno hayapo.
Na hii je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…