so scared

thanx elly
Angalia kulia kuna sehemu imeandikwa reply with quote binya hapo kama unataka kumshukuru mtu au kukoment post yake sawa mama!
kuhusu damu nahisi umri wako pia unaweza kuwa mdogo una miaka mingapi? maana ukianza mapenzi ukiwa mdogo hali hii mara nyingine inajitokeza, na kwa maelezo yako hapo juu isije kuwa sio wewe unatoa damu labda ni yeye
 
mmh kuhusu uume mkubwa i can say yes some how kajaaliwa
 
jamani sdhan km nilianza nikiwa na umri mdogo, nilikua nshaanza chuo dat time naanza hayo mambo.......na sasa nina zaidi ya 25, kuwa ni yeye anaetoa damu mmh ndo kwanza unanifumbua macho inawezekana eeh ngoja nilifanyie kazi
 
hunitakii mema nikupe namba yake tena mmh patakua hapatoshi
 

Usitake kuudanganya Umma, Kwa karne ya sasa ukisema kuna watu wanaanza tendo la ndoa si dhani kama kwa mtu anayejua malezi na makuzi ya vijana wa sasa atakubaliana na hilo.

Unachotaka kuieleza jamii ni kitu ambacho am sure ni uongo wanaoana sasa ni lazima walianza relationship na kila mmoja kumhakiki mwezie kama anamfaa hasa katika nyanja hiyo.

Dhambi ya kusema uongo ni dhambi kama hiyo uliyoianisha kwa Cathreen!!
 
...mshauri akachunguzwe, huenda ana dalili za Prostate Enlargement>> discharge >> Cancer.
 
Hapo hakuna tendo la ndoa wadau mnaochangia wengne mnasema tendo la ndoa hapana
hao wapendwa wanafanya ZINAAA,
mjadala uendelee

B mdada try to investgate ur sharobaro,huenda dam zatoka kwake
 

Cath,kwa hali hiyo ya shahawa....how sure ur kuwa hiyo damu inatoka kwako??????
 
jamani sdhan km nilianza nikiwa na umri mdogo, nilikua nshaanza chuo dat time naanza hayo mambo.......na sasa nina zaidi ya 25, kuwa ni yeye anaetoa damu mmh ndo kwanza unanifumbua macho inawezekana eeh ngoja nilifanyie kazi

Tatizo la dadazangu ni kuwa mmezoea mfumo dume ....sometimes huwa mnachanganyikiwa na kushindwa kufikiria kuwa ata waume wanaweza kuwa na matatizo yanayoweza kufanana na ya kwenu. Ata sisi tunakuwaga na matatizo kama yenu,,,,,u have to judge kuwa kwa nini tatizo kama hilo liwe kwako tu na si kwake? Kaeni jichunguzeni na mtapata jibu....USHAURI: Anyway,,embu once tumieni kondom,while the ejeculation will be done in that pocket then u will be in a position to judge and conclude on who is bleeding...u or ur boy?? and then from there take action!!!
 
Cath,ni vema mkajichunguza wote,kama wewe unapata maumivu chini ya kitovu wakati wa tendo lenyewe ni shida pia, ila kama huo mguu wa mtoto sio mrefu sana,kama ni ndefu sana ni position inamatter kama sivyo itafute hospital mama na usiende dispensary.
 

Aaah ina maana wewe bado ni kigoli?kama ni hivyo hongera sana watu kama nyie ni adimu sana.
 
Pole mpendwa. Kama sio maandalizi haba basi ukamcheki dokta.
 




thanx kwa ushauri bt hukupaswa kuniinsults nilikua nahitaji msaada na sio kubezwa anay way thanx


Aaah ina maana wewe bado ni kigoli?kama ni hivyo hongera sana watu kama nyie ni adimu sana.


Huyo binti amesema anachokiamini, kwa hiyo kama sisi wengine hatuwezi haaminishi asiseme anachokipenda..

Jockey endelea na msimamo wako..

@Baba Ubaya..wewe kama ulishindwa au umeshindwa kuvumilia mpaka ndoa, isiwe sababu ya kudhani na wengine watakuwa ni wanafiki pale wanapoonesha kuwa wanaweza...

@Catherine, unaposema hauko tayari kumpoteza unamaanisha nini?? Huko kumng'ang'ania ndo kunakufanya uone matatizo yote yanasababishwa na wewe..Hebu funguka, na mkapime
 
si dalili nzuri,satani ya shingo ya uzazi hujionesha kwa dalili hiyo hivyo mpenzi nenda haraka hospitali yenye dakatari wa wanawake,kama uko dar nenda muhimbili mapema,inaweza ikawani tatizo lingine ila ni vyema upate uhakika.
 

pole sana, ila acha uzinzi na ukimbie kwa Dr ukacheck! ukubwa wa mashine hauwezi toa blood.
 
nnaposema sipo tayari kumpoteza i mean nampenda sana na kumuacha sio rahisi kwanza tumefikia hatua nzuri tu sasa na nikimuacha itabidi nianze upya kutafuta mwingine na wanaume wenyewe hamueleweki then malazi mengi[
 
to be honest sipati maumivu yoyote chini ya kitovu wala baada ya tendo[
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…