So sick wanajamii nisaidieni

Nivea

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
7,460
Reaction score
4,761
Jamani wanajamvi habari zenyu,madactari naomba ushauri au nitumie dawa gani kwa hili linalonisibu.
Nimetokewa na rushes ila zile kama za allergenic ukikuna inavimba na vinawasha sana ,nisaidieni jamani either dawa ila sikumbuki nini nimekula kikanidhuru,na haijawahi nitokea kabisa .
Nitashukuru kwa ushauri mzuri na waharaka.
Thanks
 
nenda hospitali ukaangaliwe nini tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…