Afya ya akili
kuongeza utulivu wa kihisia - Simu zinachangia sana kutibua hisia, upo whatsapp / instagram mara unakutana na status za watu mnaojuana wametoboa huku wewe unajitafuta, wameoa / kuolewa wewe bado, timu yako imefungwa inataniwa, kuna sherehe imefanyika hujaalikwa, n.k.
Kuongeza umakini - Unapokuwa kwenye shughuli zako notifacations huwa ni usumbufu, kuna presha ya kutaka kufuatilia kurasa za mitandaoni, n.k.
Afya ya usingizi - watu wengi wanaharibu ratiba zao wakiingia na simu vitandani, mtu anacheza playstation mpaka saa tisa usiku
Afya ya mwili
Macho yanaimarika - kuongalia screen kwa kkaribu kwa muda mrefu hupunguza afya ya macho
Kunyoosha mgongo na shingo - kuinamisha shingo kwa muda mrefu ukiwa unatumia simu, ps, laptop, n.k. kunaweza kuleta kibiongo
Kuongeza shughuli za kimwili - Ukikaa mbali na electronics utapendelea zaidi kuwa nje, kutembea, kufanya mazoezi, n.k.
Socializing
Inasaidia kutoka nje kujichanganya na watu -mitandao ya kijamii na magroup yamesaidia kujichanganya kidijitali lakini hayawezi kuchukua nafasi ya kukutana physically uso kwa uso, ni muhimu kutoka nje mara kadhaa kujumuika.
Kuongeza communication skills - kuna watu ni keyboard warriors lakini ukikutana nao ni tofauti kabisa, Kuchangamana physically kunaisaidia kuwaongezea uzoefu wa kuzungumza na watu.
Uchumi
Kupunguza matumizi - Internet imekuwa na uraibu mkubwa kama ilivyo kwa ugoro na bangi, watanzania wengi wenye vipato vya kawaida bajeti ni ya kuunga bando la buku kwa siku lakini addiction inamfanya mraibu ajiunge vifurushi vya buku mara tatu au zaidi
kuongeza utulivu wa kihisia - Simu zinachangia sana kutibua hisia, upo whatsapp / instagram mara unakutana na status za watu mnaojuana wametoboa huku wewe unajitafuta, wameoa / kuolewa wewe bado, timu yako imefungwa inataniwa, kuna sherehe imefanyika hujaalikwa, n.k.
Kuongeza umakini - Unapokuwa kwenye shughuli zako notifacations huwa ni usumbufu, kuna presha ya kutaka kufuatilia kurasa za mitandaoni, n.k.
Afya ya usingizi - watu wengi wanaharibu ratiba zao wakiingia na simu vitandani, mtu anacheza playstation mpaka saa tisa usiku
Afya ya mwili
Macho yanaimarika - kuongalia screen kwa kkaribu kwa muda mrefu hupunguza afya ya macho
Kunyoosha mgongo na shingo - kuinamisha shingo kwa muda mrefu ukiwa unatumia simu, ps, laptop, n.k. kunaweza kuleta kibiongo
Kuongeza shughuli za kimwili - Ukikaa mbali na electronics utapendelea zaidi kuwa nje, kutembea, kufanya mazoezi, n.k.
Socializing
Inasaidia kutoka nje kujichanganya na watu -mitandao ya kijamii na magroup yamesaidia kujichanganya kidijitali lakini hayawezi kuchukua nafasi ya kukutana physically uso kwa uso, ni muhimu kutoka nje mara kadhaa kujumuika.
Kuongeza communication skills - kuna watu ni keyboard warriors lakini ukikutana nao ni tofauti kabisa, Kuchangamana physically kunaisaidia kuwaongezea uzoefu wa kuzungumza na watu.
Uchumi
Kupunguza matumizi - Internet imekuwa na uraibu mkubwa kama ilivyo kwa ugoro na bangi, watanzania wengi wenye vipato vya kawaida bajeti ni ya kuunga bando la buku kwa siku lakini addiction inamfanya mraibu ajiunge vifurushi vya buku mara tatu au zaidi