Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Haya mambo ya
Social Network,
Kila kitu unapost tu.
Kuna jamaa kaandika
Kwenye FB:
"Ahsantee Yesu nimepata mshahara wangu...."[emoji120]
Dakika 3 so nyingi,
Mwenye Nyumba amesha Like
Social Network,
Kila kitu unapost tu.
Kuna jamaa kaandika
Kwenye FB:
"Ahsantee Yesu nimepata mshahara wangu...."[emoji120]
Dakika 3 so nyingi,
Mwenye Nyumba amesha Like