Social science (udom) ni kama makinda yaliyo kosa mama..........................

Social science (udom) ni kama makinda yaliyo kosa mama..........................

Tky

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2012
Posts
439
Reaction score
140
[h=2][/h]Ikumbukwe wanafunzi wengi walio mwaka wa pili vyuoni walikosa mkopo kutoka bodi ya mikopo (HESLB) na bodi ikaagiza kwamba wakifika vyuoni waombe tena (appeal) kwa shilingi elfu tano na hakuna hata mmoja aliye pewa na wakati bodi ilijua kwamba haina pesa, wanafunzi hao wakafanya kuomba tena mkopo kwa mwaka wa masomo 2012-2013 lakini bodi ikatoa kwa mwaka wa kwanza tu na kuagiza wanafunzi wanao endelea majina yao yatumwe kutoka vyuoni ili kuhakikisha kwamba ni wanafunzi wa kutoka vyuo husika, lakini kwa chuo kikuu cha dodoma imekuwa ndivyo sivyo na chuo hakitoi mchango wowote kuwasidia wanafunzi hao ili kufikisha majina yao LOAN BOARD kwa uhakiki kama vyuo vingine mfano UDSM, SAUTI, ARDHI n.k, walivyofanya na hatimaye wakapewa mkopo. SERIKALI TUNAOMBA ILITAMBUE JAMBO HILI KWANI WANAOUMIA NI WANAFUNZI NA SIO CHUO.
 
kiukweli social kwa udom umeumia especially kama hauna ndugu hata kwenye ajira,coz hawa jamaa hawana field so utendaji wao hauwez fanana na wale wanaopata field,but polen kwa kukosa loan
 
jamani jamani hichi chuo si ndo baadhi ya wanafunzi wake walimchangia mkuu wenu hela ya kuchukua fomu ya kugombea urais awamu ya pili poleni sana sana tena sana sana poleni saaaaaaaana ila msichoke kuwachangia magamba fomu za urais ipo siku watawakumbuka
 
Back
Top Bottom