Soda nzuri!

Soda nzuri!

G M S

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
502
Reaction score
53
Wajumbe mie naomba kujulishwa hivi soda ipi nzuri kiafya ambayo ndani yake unaweza ukapata virutubisho muhimu mwilini kwasababu kuna baadhi ya soda kama cocacola naziogopa kabisa kutokana na vitisho nilivyovipata kwamba kwa mfano mfupi ukichukua mfupa wa kuku na kuweka pamoja na coca katika glass kwa masaa kadhaa ule mfupa unayeyuka ndipo nilipogundua kuwa hii soda ni destructive one so ipi ni nzuri kwa afya na ina virutubisho gani mwilini?
 
kunywa maji tu kaka hakuna cha juice wala soda hapo zote ni sugar na mikalories kibao ama tafuta light soda (free energy).

Ujumbe kuwa na mpenzi mmoja au ukishindwa tumia kondomu
 
ukishindwa kbs bora unywe sprite au 7up
 
Nnachokijua mimi khs maji yapi bora kilimanjaro is the best!
 
Back
Top Bottom