Kumbe ndiyo maana wengine wana -test kabla. Sasa kama hainyweki si kuachana nayo? Msijipe shida kesho mkiamua kukaa pamoja mkasalitiana. Kama haikongi kiu achana nayo tafuta maji ya dafu au ya mtungi unywe
Hii Soda vipi wana jf? nikianza kuinywa tu gesi inakwisha hasa nyakati za usiku, wakatimwingine nakunywa mpaka nusu, kabla sijamaliza ishaflet, mwanzoni haikuwa hivyo nilikuwa nakunywa mpaka mwisho ikiwa na gesi yake, Kuna wakati nilishauriwa nibadilishe aina ya kinywaji kwani ninachotumia eti hakina ubora pia niangalie expire date lakini wapi! Mwanamke anaridhika na mwanaume anayekula na kunywa vizuri kile anachoandaliwa. Kabla sijaanza kunywa nakuwa na hamu sana.
Nifanyeje?
Mkuu hapo red kidogo umetoa mwanya japo si mkubwa wa soda kuonekana na wasiostahili<br />
Ila jaribu kupunguza mawazo mkuu<br />
Wakati unakunywa usiwe na mawazo kabisa, jaribu kuongea ongea kidogo<br />
Then usichukulie soda kama kilevi kwamba unaanza kuiwazia ukilewa itakuaje<br />
Isitoshe usiwe unapiga mafunda mfululizo, kutumia glasi kunasaidia, usinywee moja kwa moja kwenye chupa.<br />
Halafu relax wakati wa kunywa soda, usiwe too serious
Raha ya Soda gesi!!hasa ukiwa unainywa kwa akili!Raha ya soda gesi ha ha ha
Hii Soda vipi wana jf? nikianza kuinywa tu gesi inakwisha hasa nyakati za usiku, wakatimwingine nakunywa mpaka nusu, kabla sijamaliza ishaflet, mwanzoni haikuwa hivyo nilikuwa nakunywa mpaka mwisho ikiwa na gesi yake, Kuna wakati nilishauriwa nibadilishe aina ya kinywaji kwani ninachotumia eti hakina ubora pia niangalie expire date lakini wapi! Mwanamke anaridhika na mwanaume anayekula na kunywa vizuri kile anachoandaliwa. Kabla sijaanza kunywa nakuwa na hamu sana.
Nifanyeje?