Sio kweriInawezekana nini[emoji38]View attachment 1198948
Sawa sawaUkitaka usizeeke ifanye konyagi kuwa kinywaji chako Cha kila siku.
Kwasababu zina sukari nyingiSoda huwa zinanenepesha maaana mm huwa nikinywa sana nashangaa na nenepa kweli kweli so huwa kwa week nakunywa moja tu kwa sasa so kwa mwezi na kunywa NNE tu
Zinnazeesha nini?Inawezekana nini[emoji38]View attachment 1198948
Addiction iko mpaka kwenye ulozi unajuaNinachojua ni addiction.
Huwa nikifululiza kunywa najikuta kila siku nakunywa.