Kiwalan bossDar sehemu gani?
Ongeza kidogo mkuuKuna 80 iko mfuko wa shati hapa. Kuna kijana wangu yupo chuo fulani hapo mjini nataka nimchukulie.
Naunga mkono hojaKuna 80 iko mfuko wa shati hapa. Kuna kijana wangu yupo chuo fulani hapo mjini nataka nimchukulie.
Ongeza 20 njoo chukuaKuna 80 iko mfuko wa shati hapa. Kuna kijana wangu yupo chuo fulani hapo mjini nataka nimchukulie.
Ongeza 20 uje ulichukueNaunga mkono hoja
Wewe utakalia nini?Sofa lina mwezi
Bei 130,000/=
0716230633 Dsm nipo
Karibuni maboss zang
Simu ziite hatushindwani View attachment 2907502View attachment 2907503View attachment 2907504View attachment 2907505
View attachment 2907506
Kwani kasema hana tako??Wewe utakalia nini?
aiseeUnaweza kuta harufu ya mbususu tu kwenye hilo sofa....kaz ya sofa hilo geto inajulikana