Da! Mkuu hiyo inakata kias, ongeza ongeza yjmalize biashara.Mkuu kwema? Mkuu nimepambana nimepata 400k. Naomba huo mzigo mkuu kama hutojali.
Sawa mkuuSisi tuna watoto rangi nyeupe hatuiwezi mkuu,badilisha Rangi tafadhali.
Hamna mkuu,kawaida tuHuo Mzigo unahitaji KiWI nyeupe
Karibuni sanaHamna mkuu,kawaida tu
Ndo maana nikasema kuna punguzo,, ndo maaana pia ipo meza.Mkuu laki nane?
Huko kuchanika inakuwaje?
Bei kubwa mno kulingana na quality Yake (yameanza kuchoka/kuchanika)
Sofa zinahitaji matengenezo au marekebisho kwanza
Ni kweli mkuuMzigo uko vizuri sema tu sisi watanzania siku hizi hatuna hela.
Karibuni saanaNi kweli mkuu
Karibuni sanaKaribuni saana
KatibuniKaribuni sana
Karibuni saaanaKatibuni
Karibuni sanaKaribuni saaana